Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita hukuHabari zenu wakuu
Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana.
Nimekuwa shabiki wa timu za wanawake Simba queen au Yanga princess kila mechi zao naenda kuziangalia Kuna pisi zinanivutia nikizionaga tu.
Matomboy ni wanawake wazuri na wanajua kujari wako real sana
Sina muda hata wa kuwaangalia mara mbili Hawa mademu wa town akisuka Rasta, kavaa kimini au awe na shepu vipi ata akijiremba vipi sinaga time nao.
Nb: Nawakubali life style yao tu Ila sio kuwa nao kimahusiano
Hisia za mtu ziheshimiwe😊
Chawa katika ubora wako [emoji38]Confession: Lesbianism inaniweka mbali na Jamii, nifanyaje niache
Salaam wote, Mimi ni Mwanamke mrembo, kimuonekano huwezi nijua kama nashiriki mapenzi ya jinsi moja, Nilijigundua hali hii nikiwa na umri wa miaka 10, nilikua na kiss na kushikana shikana na jirani yangu wa kike yeye akiwa na umri wa miaka 12, Tabia hii imeendelea na kua sugu hadi sasa...www.jamiiforums.com
Nakupenda ulivyoChawa katika ubora wako [emoji38]
Dume linanyonywa kinyeo na demu wake au dume lenzakeRim boy ndio nani tena
Ni watu mkuu tena wanajielewa na ni watamu mno hawatumiki ovyo ovyo.Kwan Tomboy sio Watu [emoji15]
Endelea kunyonyeka ni haki yako ya kihisia aibu ya nini sasa [emoji1787]Fala kweli Sina pigo hizo za kiwaki,za kichoko,sikujibu Tena ,unless unataka pipe yangu,uachane na ishu zako za grinding,pm iko wazi
Ukadate na mchafu [emoji119]Kwanza wachafu
Aiseee jinsi ulivyo mbobevu ukaona uangalie huku na kule ila naona kabisa ya dume ndo ilikubamba hadi umeikumbuka kwenye uzi huu[emoji1787]Aliyekwambia rimming ni kwa wanaume pekee Nani?niliona mwanamke anafanyiwa rimming sasa
Hawatumiki kivipi?Ni watu mkuu tena wanajielewa na ni watamu mno hawatumiki ovyo ovyo.
Sio rahis wadada wa hivyo kuwa malayaHawatumiki kivipi?
Kama ni msagaji anakua malaya kwa wanawake zake,Sio rahis wadada wa hivyo kuwa malaya
Iv wa hivyo wengi wao wanakuwa wasagaji kwani?Kama ni msagaji anakua malaya kwa wanawake zake,
Kama sio msagaji hapo sawa
Akiwa msagaji anaitwa Stud, ila sio wote wanaojua kuwatofautisha, wengi humuita stud tomboy,Iv wa hivyo wengi wao wanakuwa wasagaji kwani?
ZinaheshimikaHabari zenu wakuu
Nimejikuta tu ghafla nimetokea kuwapenda wanawake wanaovaa nguo za kiume tomboys au nikimuona mwanamke kavaa nguo za kiume navutiwa nae..unamkuta pisi Kali imevaa jezi kwa juu chini ana jinsi au kibukta flan hiv kanyoa afro au low cut wanavutia sana.
Nimekuwa shabiki wa timu za wanawake Simba queen au Yanga princess kila mechi zao naenda kuziangalia Kuna pisi zinanivutia nikizionaga tu.
Matomboy ni wanawake wazuri na wanajua kujari wako real sana
Sina muda hata wa kuwaangalia mara mbili Hawa mademu wa town akisuka Rasta, kavaa kimini au awe na shepu vipi ata akijiremba vipi sinaga time nao.
Nb: Nawakubali life style yao tu Ila sio kuwa nao kimahusiano
Hisia za mtu ziheshimiwe[emoji4]
Sorry nipo nje ya mada, mfano sasahivi ndio naona likitamkwa neno Tomboy watu wanakuwa straight kuwa msagaji ila nakumbuka siku za nyuma kidogo jina Tomboy lilikuwa just linatumiaka tu kwa Mwanamke yeyote aliyekuwa na swaga au cutting za kiume Kama dress codes, marafiki nk wengi tulikuwa nao shule na haikumaanisha wanasagana washakaji kibao tu kiwaida kusema na date na Tomboy au namkubali yule Tomboy ila sasahivi naona imekuwa strictly Sana kuwa neno Tomboy ni anajihusisha na usagaji
Nafikiri anachomaanisha mtoa mada ndio hiko na ndicho na hoamini mfano wale wachezaji wakike wa Simba na yanga Kama Fetty Densa namjua huyo zamani tuliwaita Tomboy na hatukumaanisha anasagana