Nimetokwa na kijipu sehemu ya siri ghafla, naomba msaada

Nimetokwa na kijipu sehemu ya siri ghafla, naomba msaada

Shukran mkuu, constipation ilinitokea mara moja tu, baada ya hapo niliendelea kama kawaida.
Je bawaziri inaweza tokea kwa damage ya constipation ya siku moja?
Sio siku moja Hata masaa tu..Kumbuka Kinachohitajika ili bawasiri iweze kutokea Sio mda japo muda unaweza ukawa chachu ya ongezeko la athari....

Ila ni kiasi cha pressure (Internal pressure) ambacho Kinaweza kusababisha vein kuvimba ngoja nikuelimishe kidogo....
Kwenye njia ya Haja kubwa kuna tissue Laini sana zinaitwa Anal cushions au Pia hemorrhoidal cushions ambazo kazi yake kubwa ni Kusaidia wewe katika kustahimili au uweze kujizuia na pressure Inayotoka Ndani...
Hizo cushions ziko Aina tatu na zimegawanyika kama saa ya ukutani ambazo Huwa tunaita 3,7 na 11 o'clock position.....

Kwa bahati nzuri hizi Cushions huwa hazina arteries wala veins, ila blood vessels ambazo huitwa sinusoids, connective tissue, na Misuli laini ambayo ndo huifanya kazi hiyo ya kuzuia....Sinusoids ina mfano wa miships ya damu iitwayo hemorrhoidal plexus.ndo husambaza damu sehemu hizo...

Kwakuwa kazi ya cushions ni kustahimili Pressure kutoka ndani na kukufanya wewe usiachie vitu wakati wowote....😀😀

Inachangia asilimia 20 ya anal closure pressure na kulinda Anal sphincter zisipate madhara pale unapokuwa unapata Haja kubwa ...

Sasa Inakuaje Mtu kupata Bawasiri...

Mtu anaweza kuvumilia ongezeko la Msukumo wa ndani au kama nilivyosema mwanzoni "Inter abdominal pressure" , Kwa hemorrhoid cushions Kuongezeka Size yake ili kukupa wewe confortability vitu vya ndani visishuke Ambayo hali hii husaidia Misuli ya Njia ya Haja kubwa kufunga "anal closure"....
Sasa nataka uimmagine kwa situation yako ya Kupata constipation Na kufanya Presuure iongezeke tumboni na Cushion kuongezeka wakati huo Vascular structures zinaslide downwards au kutokana na kupush sana hiyo venous pressure ilikuwa excessively increased...

Kuongezeka kwa internal na external anal sphincter pressure ndo kunachangia kuvimba kwa hizo cushion na kusababisha zi"Protude" kutoka nje nakuonekana nando hicho huitwa Bawasiri au haemorrhoids

CC: haszu
 
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi.

Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda haja kubwa hata maramoja.

Niliporudi ninapoishi siku ya kwanza nikapata choo kigumu, siku ya pili ndo ikawa shida zaidi, choo kigumu sana na hakitoki, nikajikamua sana na kwa nguvu kweli kikatoka kilichotoka lakini nikawa najihisi kama kuna kitu kigumu kimekwama karibu na kutoka.

Nilipoamka asubuhi, bado hali ya kuhisi kitu kimekwama ikawa ipo, nilipoenda uani nikapata haja ya kawaida bila shida ila ile hali ya kitu kukwama ikaendelea kuepo.

Niliamua kujikamua tena, nilihisi maumivu kwa mbali, nikaona sinajinsi nikajiangalia, ndio nikaona kuna kiuvimbe kwa nje, kma kijipu.

Naomba kufahamu
1. Huu uvimbe unatokana na ugumu wa kile kilichofanikiwa kutoka kwa sababu nilijikamua sana?

Au

2. Huu uvimbe ni Bawaziri ndiyo imekuja ghafla?

Kuna aliyewahi tokewa na hii hali? Nifanyeje?
toa 0716
 
Kimeondoka ndani ya siku tatu, am good now. It was Constipation
 
Moja kwa moja hiyo ni bawasiri....! Kama sasa hivi haukihisi usidhani kwamba ndo kimepotea ila kipo kwa ndani, Siku ukipata tena choo kigumu au ukiharisha kitatokea tu...! Tafuta dawa utibu mapema hiyo hali, na dawa zinazofanya vizuri kwenye hilo tatizo ni za mitishamba
 
Back
Top Bottom