Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama

Kiswahili mtu ukishamuamkia Shikamoo kumtongoza huwezi (hutakiwi) asilani.

Ndiyo maana wazee Waswahili wakiamkiwa Shikamoo na binti ambaye wanampigia mahesabu, jibu lao moja ni "Unataka kuninyima nini?".

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah, sasa mbona mie ameniona kabisa ni sawa na mama yake lakini bado kakajitutumua!
 
Na mimi naomba namba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kape uone kama papuchi haitaprocessiwa...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakua na shida mahali.Sio rahis mtoto mdogo namna hiyo akutongoze kirahis rahis .Halaf ulishamgundua tola mwanzo then why umpe attention ya kumsikiliza?ai ashasikia kuwa unakitembeza sana so ikabid ajaribu bahat yake?

KWENYE MZOGA NDIPO WANAPOTUA INZI
 
Kwani haingii? [emoji2][emoji2] Alisikika mvuta bange mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…