- Thread starter
- #21
hahaha, kheri ya mwaka mpya babuUngekakubalia ungeanzisha hii thread?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, kheri ya mwaka mpya babuUngekakubalia ungeanzisha hii thread?
ila si amesema ajakapa namba sasa atamsumbuaje labda kama ataendelea kwenda kwenye bucha hilo hilo la ukereweKakiongeza bidii ya kukusumbua kata kupata... sababu utaanza kumiss usumbufu wake!!
Hahahaha baada ya dogo kukata msaada wa nyama ya ukerewe baada ya kula nyama mbichi ya kiburudisho pendwaha ha ungesikia wanaume wote washenzii
Na kwako pia bibi. Naomba namba yako PM tafazali. Nataka nikuwozaphahaha, kheri ya mwaka mpya babu
Kila huyu mdada akimuona tuu dogo, atakumbuka kuwa huyu anataka kunivua pichu!!, na kadri dogo atakavyo zidi kuwa jasiri kumfuata, atamvua tuu.ila si amesema ajakapa namba sasa atamsumbuaje labda kama ataendelea kwenda kwenye bucha hilo hilo la ukerewe
kwa tathimini yangu dogo akumvutia mpare nakwede ingekuwa the other way around ingekuja thread nyingine ila mimi kiukweli sina guts za kutokea mwanamke mtu mzima jamaniHahahaha baada ya dogo kukata msaada wa nyama ya ukerewe baada ya kula nyama mbichi ya kiburudisho pendwa
hahahahaha, +254 0978 987 234Na kwako pia bibi. Naomba namba yako PM tafazali. Nataka nikuwozap
Sio mtu mzima tu. Kumtokea mwanamke yeyote unapaswa umtokee kwa akili. Utafaidi vingi.... Soma upesi kabla sijadelete hii postkwa tathimini yangu dogo akumvutia mpare nakwede ingekuwa the other way around ingekuja thread nyingine ila mimi kiukweli sina guts za kutokea mwanamke mtu mzima jamani
Tatizo unapenda sana masiharahahahahaha, +254 0978 987 234
hahahahahah, usi delete tunataka hiyo nywila (password)Sio mtu mzima tu. Kumtokea mwanamke yeyote unapaswa umtokee kwa akili. Utafaidi vingi.... Soma upesi kabla sijadelete hii post
point takenSio mtu mzima tu. Kumtokea mwanamke yeyote unapaswa umtokee kwa akili. Utafaidi vingi.... Soma upesi kabla sijadelete hii post
ha ha kaka namba hiyo ya treni la mwendokasiTatizo unapenda sana masihara
Alafu atasahau kama aliwai leta uzi kama huu na badala yake atakuja na uzi wa jinzi dogo anavyotibu majeraha[emoji1][emoji1][emoji1]badae utajaa tu, na hutoamini