Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni hali ngumu, au basi tu ni kuporomoka kwa maadili na utandawazi?
Inabidi tubadilishane namba ili niwe nasikia cheko lako japo kwa Siku Mara tatu....Marahaba Dr. hahahahahahahah
hhahahah, nimekupa like. hahahahah
hahahahahahahahaha, mweeee!Mama kwa cheko ulotoa niwazi kwamba Inabidi tubadilishane namba ili niwe nasikia cheko lako japo kwa Siku Mara tatu....
Ndo mana ulimdatisha Dogo wew,, kazoea kukata nyama robo robo... 3kg mbona akaona kashafika.. ila usimkatishe tamaa.hahahahahah, mi noti ya wapi? nimenunua nyama ya Tshs.24,000/= tu
Yaani kilo tatu steak
Kirumba sokoni bucha namba 28 kwa Mwarabu hapoKirumba sokoni au Nela? hebu njoo tuonane sisi watu wazima kwanza,achana na watoto
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
hahahahah, mbona kawaida tu mpendwa. hahahahaNdo mana ulimdatisha Dogo wew,, kazoea kukata nyama robo robo... 3kg mbona akaona kashafika.. ila usimkatishe tamaa.
Kwa ufupi toka nimeanza kukuona, nimetokea kupenda vitu vyako vitatu ...hahahahahahahahaha, mweeee!
Mola aniepushe na hilo balaa.Soon tutasikia nimezama kwenye penzi la muuza bucha [emoji16][emoji16]
Kumbe na mimi niachane na lengo langu la kuja PM sio!!Ni mtoto mdogo sana, namzaa mara elfu 10.
Hakika!Kumbe na mimi niachane na lengo langu la kuja PM sio!!
Dogo anataka Kusoma Katiba hivi hivi.Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga?
Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000?
Mnapata wapi ujasiri huo?
story iko vile:
Jana nilipita kwenye bucha la nyama ambako huwa ninapenda kununulia hapo kwa kuwa wana nyama ya kutoka wilaya ya Ukerewe. Kwa ufupi nyama inayotokana na ng'ombe wa Ukerewe ni nzuri kwa kuwa ng'ombe wa Ukerewe wanalishwa tu maeneo jirani na nyumbani, hawajachoka na pia nyama ya Ukerewe ina ladha nzuri na ni laini. (sio tangazo za biashara mjue)
Baada ya kununua nyama, wakati nafungua mkoba kutoa hela, hako kavula kakawa kananiangalia sana, na mie nikakazia macho. Kakawa kanaonesha ishara ya kuomba namba za simu (yaani kakawa kanaweka mkono wake kwenye sikio kama vile kanapokea simu). Nilikaelewa nikakausha tu. Nikamlipa mwarabu hela yake.
Nilivyotoka hapo kuelekea kwenye usafiri, ghafla nikaona dogo yuko nyuma yangu. Mazungumzo yakaanza:
Dogo: Mama shikamoo.
Mie: Marahaba.
Dodo: huku akiwa anatoa tabasamu kama la panya, samahani mama naweza kupata namba yako ya simu.
Mie: Kwa ajili ya matumizi yepi?
Dogo: Ili niwe nakupigia kukupa taarifa za nyama inapoingia toka Ukerewe.
Mie: Mbona ratiba naijua tu, kwani ni lini niliikuja hapo nikakosa nyama?
Dogo: hahahaha, basi tuyaache hayo ya nyama, nataka tu nipate namba zako tuwe tunachat, kwa ufupi nimependa uwe mtu wangu!
Mie: Mxeeeewuu (nikaondoka zangu nikakaacha kamesimama hapo)
hahahahahahaha, Bora nile tembele kuliko kuvulia nguo mtoto mdogo kama yuleKubali uwe unakula nyama kila muda, hadi chai unagonga na nyama