Nimetongozwa na Mwalimu wa kike


Umeongea Point Sana
huyu Bundakwetu ngoja anogewe kwa wanawake wa Kimakonde ndio atajua hajui!
Yaani baada ya Kuangalia Maisha Kwanza Eti….
Nimeshindwa hata Kuendelea ngoja Nimuache kwanza Aingie Mkenge ndio nije Nimpe Ushauri
 
Mle kimasihara tu
 
Umeongea Point Sana
huyu Bundakwetu ngoja anogewe kwa wanawake wa Kimakonde ndio atajua hajui!
Yaani baada ya Kuangalia Maisha Kwanza Eti….
Nimeshindwa hata Kuendelea ngoja Nimuache kwanza Aingie Mkenge ndio nije Nimpe Ushauri
Daah
 
Mungu akupe nini
 
Y
Shida itaanza akiwapata wa kwake ndo utajua
 
Asikushikinikize kuandika cheti cha ndoa. Muishi hivyo hivyo km wazee wetu wa zamani.
 
mkubalie kaka maisha ndo ayo ukimkatalia dunia utaiona chungu hii
 
Ulijitangaza vibaya sana kwake mpaka akajua jimbo liko wazi hivyo katangaza nia tu .


Uwe na msimamo dhabiti natamani wanao mpaka wajitegemee ndiyo uanze safari nyingine ya maisha .

Nakushauri mwambie kama hatojali muwe marafiki mpaka watoto wamalize vyuo ndo utamuoa , akifrit jua siyo mke , kajua jimbo liko wazi tu , na huko jua ashalizwa

Waweza kumuuliza kama ni bikra ????


Wengi wanajifanya malaika ili tu alipize kisasi kwa yule aliyemuumiza tena walimu hiiiii acha tu

Mie ndo usiseme

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mkubalie bahati hiyo mshahara, plus kishkwambi, mbunye unataka Mungu akupe nini sasa 😂
 
"nimemwambia ngoja nitafakar"

Mwanaume wa kwanza tangu dunia iumbwe. Unafaa kwenda 77 kwenye maonesho mkuu.

Yaan mm ningekula mbususu kwanza hafu tafakuri ndio ianze
 
Wakati anajitafuta atakuwa anapiga wapi mashine?
 
Wanawake wa ukanda wa kusini si watesaji wa watoto wa Kambo

Pili ninkweli hana mtoto maan kanda hizo kiasi huzalia Nyumbn labda awe mkristo


Mpokee Taratbu ukiw unamchunguza mwambie tuanze Kimyah Kimyah mkiw mnasomana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…