Nimesikia kamwambia " Ongea vizuri na onaongea na wananchi". Sioni swala la uwanamke. Hata mwanaume angeongea kwa sauti ya chini, pia nae angeambiwa hivyo hivyo" Ongeza sauti unaongea na wananchi"
Shida sijaiona . tuchape tu kazi jamani tuache visababu.
Shida sijaiona . tuchape tu kazi jamani tuache visababu.