- Thread starter
- #241
Itakuwa bonge la sherehe nchi nzimaAkitemwa nitafanya sherehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa bonge la sherehe nchi nzimaAkitemwa nitafanya sherehe
Unaamini hayo ulioorodhesha yooote aliyafanya Kwa utashi wake au kwa maelekezo fulani ya system!!?Wewe humchukii Makonda? Basi utakuwa na shida kichwani. Makonda;-
*Amepora nyumba ya GSM.
*Alimpiga Lisu risasi nyingi tu.
*Alimteka Roma, Mo, n.k
*Alipora fedha za wafanyabiashara wenye asili ya kihindi DSM.
*Alivamia kituo cha Cloudstv.
*Alimnasa vibao mzee Warioba.
N.k.
Na liwe kama ulivyonena. Mana masalia ya yule shetani jpm hatuyataki kabisaWekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Amakweli Dunia ina mambo, "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe leo kinawatisha, wanakimbia..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣expand...
Amechelewa sana kurudi benchi. Ameaminiwa lakini yeye anafanya ujinga na kumtukanisha mteuaji.Anarudi bench this time
Elimu, elimu, elimu.Huyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
Usitetee ujinga. Apewe anachostahili. Hafai kuwa kiongozi wa umma huyu.Fully duwa mbaya, hii sasa ndiyo real culture yetu waafrika, kwingine ni tunaiga tu!.
Tabia ni kama ngozi ndivyo waja hunena.Huyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
View: https://m.youtube.com/watch?v=pf2rBJg22pg
Hiko ndio kinachowauma, kwanini wananchi wanamuani na kufurika kila anapoenda.
wafanyieni kazi wananchi; onyesheni kujali mkienda sehemu mtajaza watu tu kama yeye. Badala ya kuishi kila siku kujaribu kumgombanisha na boss.
Kila mtu ashinde vita vyake, na vita mbinu.
Ila majina ya Penny/Penina ni changamoto sana .....Hii wiki ngumu sana kwetu wanawake, huku tunasimangwa kwa yaliyomkuta Penina, huku tunadhalilishwa!
Yatapita tu.
Wakiona hivo wana wivu nae wanatamani kumaliz kabisa kimwili na kiroho! HahahahMtu ana mafuriko kuliko katibu mwenezi na mwenyekiti wake kwa pamoja ukiwachanganya
Unataka awachekee wale mafala ........unakuta jitu linasema kibanda cha mlinzi kukijenga ni milioni saba limesaini limetoka na pesa ........nimeona kama lile banda la kupokelea samaki eti limejengwa kwa milioni 50 kubabeki lile hata milioni tano tu halifiki mtu kaandika 50 .........makonda wewe endelea kuwapaka futa kwa fujo sana.......mpaka wataelewaNi mtu wa hovyo kabisa huyo.
Sasa uzembe wa huyo dada ni upi? Hivi unafikiri watu wote wanajua kutumia mic? Kwa hiyo ukiajiriwa ukawa kiongozi ujifunze na namna ya kuongea na mic kwenye hadhara. Hujawahi kuona mtu anaweza kuelezea kitu kwa logic ya kiwango kwa watu wachache, lakini kwenye kundi kubwa akashindwa, labda awe anasoma. Na kwenye mkutano hiyo kuna maswali ya ghafla ambayo siyo rahisi yote yakawa na majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano Ile issue ya maji kuvuja, haiwezekani hizo leakages zimetokea tu, zipo tabia za wafugaji wengi kuiharibu miundo mbinu ya maji makusudi kwa ajili ya mifugo yao. Na kazi za kuajiriwa nyie zisikieni tu, unaweza kukuta hao watendaji wanakwamishwa na viongozi wao juu, na siyo rahisi ukawataja kwenye mikutano hiyo ya hadhara.Wanafiki mmetia timu kazini kuleta umbea na fitna.
Tena mimi ningekuwa makonda ningemchapa viboko huyo dada.
Kuna watumishi wazembe sana na wajinga, ni kucharaza mboko mpaka wanyooke kama rula.
Samia aniteue mimi Bichwa Komwe nimuonyeshe venye watumishi wananyooshwa.
Akitulia anakia kiongozi mzuri, tatizo mdomo, hana brakes and that is a bad news
Kwanza amemsemesha kwa dharau kubwa mnooo. Hata ivyo huyo dada/mama ni mvumilivu sana.Sasa uzembe wa huyo dada ni upi? Hivi unafikiri watu wote wanajua kutumia mic? Kwa hiyo ukiajiriwa ukawa kiongozi ujifunze na namna ya kuongea na mic kwenye hadhara. Hujawahi kuona mtu anaweza kuelezea kitu kwa logic ya kiwango kwa watu wachache, lakini kwenye kundi kubwa akashindwa, labda awe anasoma. Na kwenye mkutano hiyo kuna maswali ya ghafla ambayo siyo rahisi yote yakawa na majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano Ile issue ya maji kuvuja, haiwezekani hizo leakages zimetokea tu, zipo tabia za wafugaji wengi kuiharibu miundo mbinu ya maji makusudi kwa ajili ya mifugo yao. Na kazi za kuajiriwa nyie zisikieni tu, unaweza kukuta hao watendaji wanakwamishwa na viongozi wao juu, na siyo rahisi ukawataja kwenye mikutano hiyo ya hadhara.
Badala ya kuwaita hadharani na kuwazodoa mbele za watu ambao wengine hawaelewi chochote zaidi ya kushangilia tu. Mkuu wa mkoa angeagiza hatua za kushughulika na tatizo na kuweka deadline ya utekelezaji ingetosha sana.
Ego. Unaweza kuwa na confidence na ukaheshimu watuThe problem is "too much confidence"
Kwakweli mm huyu jamaa sometimes huwa namkubali sana ila kwa hiki kitendo for real amenikwaza pia. Ameenda mbali sana, it's too much.