Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Wewe humchukii Makonda? Basi utakuwa na shida kichwani. Makonda;-
*Amepora nyumba ya GSM.
*Alimpiga Lisu risasi nyingi tu.
*Alimteka Roma, Mo, n.k
*Alipora fedha za wafanyabiashara wenye asili ya kihindi DSM.
*Alivamia kituo cha Cloudstv.
*Alimnasa vibao mzee Warioba.
N.k.
Unaamini hayo ulioorodhesha yooote aliyafanya Kwa utashi wake au kwa maelekezo fulani ya system!!?

Kuna mambo lazima ujiulize kwanini yalitokea kabla hujatuhumu uhusika wa mtu!!!

Tuna tatizo kubwa cognitive thinking watz wengi!
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Na liwe kama ulivyonena. Mana masalia ya yule shetani jpm hatuyataki kabisa
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
expand...
Amakweli Dunia ina mambo, "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe leo kinawatisha, wanakimbia..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Huyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
Elimu, elimu, elimu.
Ni sawa na kupata pesa bila elimu. Hukosi dharau kwa wenye elimu zao. Refer yule bwana wa Geita.
 
  • Thanks
Reactions: G4N

View: https://m.youtube.com/watch?v=pf2rBJg22pg

Hiko ndio kinachowauma, kwanini wananchi wanamuani na kufurika kila anapoenda.

wafanyieni kazi wananchi; onyesheni kujali mkienda sehemu mtajaza watu tu kama yeye. Badala ya kuishi kila siku kujaribu kumgombanisha na boss.

Kila mtu ashinde vita vyake, na vita mbinu.

Mtu ana mafuriko kuliko katibu mwenezi na mwenyekiti wake kwa pamoja ukiwachanganya
 
Ni mtu wa hovyo kabisa huyo.
Unataka awachekee wale mafala ........unakuta jitu linasema kibanda cha mlinzi kukijenga ni milioni saba limesaini limetoka na pesa ........nimeona kama lile banda la kupokelea samaki eti limejengwa kwa milioni 50 kubabeki lile hata milioni tano tu halifiki mtu kaandika 50 .........makonda wewe endelea kuwapaka futa kwa fujo sana.......mpaka wataelewa
 
Wanafiki mmetia timu kazini kuleta umbea na fitna.

Tena mimi ningekuwa makonda ningemchapa viboko huyo dada.

Kuna watumishi wazembe sana na wajinga, ni kucharaza mboko mpaka wanyooke kama rula.

Samia aniteue mimi Bichwa Komwe nimuonyeshe venye watumishi wananyooshwa.
Sasa uzembe wa huyo dada ni upi? Hivi unafikiri watu wote wanajua kutumia mic? Kwa hiyo ukiajiriwa ukawa kiongozi ujifunze na namna ya kuongea na mic kwenye hadhara. Hujawahi kuona mtu anaweza kuelezea kitu kwa logic ya kiwango kwa watu wachache, lakini kwenye kundi kubwa akashindwa, labda awe anasoma. Na kwenye mkutano hiyo kuna maswali ya ghafla ambayo siyo rahisi yote yakawa na majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano Ile issue ya maji kuvuja, haiwezekani hizo leakages zimetokea tu, zipo tabia za wafugaji wengi kuiharibu miundo mbinu ya maji makusudi kwa ajili ya mifugo yao. Na kazi za kuajiriwa nyie zisikieni tu, unaweza kukuta hao watendaji wanakwamishwa na viongozi wao juu, na siyo rahisi ukawataja kwenye mikutano hiyo ya hadhara.
Badala ya kuwaita hadharani na kuwazodoa mbele za watu ambao wengine hawaelewi chochote zaidi ya kushangilia tu. Mkuu wa mkoa angeagiza hatua za kushughulika na tatizo na kuweka deadline ya utekelezaji ingetosha sana.
 
Sasa uzembe wa huyo dada ni upi? Hivi unafikiri watu wote wanajua kutumia mic? Kwa hiyo ukiajiriwa ukawa kiongozi ujifunze na namna ya kuongea na mic kwenye hadhara. Hujawahi kuona mtu anaweza kuelezea kitu kwa logic ya kiwango kwa watu wachache, lakini kwenye kundi kubwa akashindwa, labda awe anasoma. Na kwenye mkutano hiyo kuna maswali ya ghafla ambayo siyo rahisi yote yakawa na majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano Ile issue ya maji kuvuja, haiwezekani hizo leakages zimetokea tu, zipo tabia za wafugaji wengi kuiharibu miundo mbinu ya maji makusudi kwa ajili ya mifugo yao. Na kazi za kuajiriwa nyie zisikieni tu, unaweza kukuta hao watendaji wanakwamishwa na viongozi wao juu, na siyo rahisi ukawataja kwenye mikutano hiyo ya hadhara.
Badala ya kuwaita hadharani na kuwazodoa mbele za watu ambao wengine hawaelewi chochote zaidi ya kushangilia tu. Mkuu wa mkoa angeagiza hatua za kushughulika na tatizo na kuweka deadline ya utekelezaji ingetosha sana.
Kwanza amemsemesha kwa dharau kubwa mnooo. Hata ivyo huyo dada/mama ni mvumilivu sana.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom