Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

sio rahisi namna hiyo. mwenye kula kichwa angekuwa msikivu angesikiliza ushauri aliopewa hadi watu wakamsingizia makubwa kama vile ukiona dogo anatoka chumbani kwa bimkubwa wako mheshimu. jambo linaloweza kuwa sio la kweli ila kutokana na ambavyo hakusikiliza ushauri, watu walimwambia sana kwamba hicho ni kirusi, kifute kabisa. hata alivyomtetea kwa mwarabu wa yanga kuhusu ile nyumba si unakumbuka alimsema kwenye kikao kwamba mwarabu na wewe tunajua mambo yako mengi yasiyofaa, si alikuwa anamtishia ili aachie nyumba ya mwenyewe huyo, kituko cha taifa, chukizo la uharibifu wa nchi, na aibu ya uongozi.
Yule kutumbuliwa sio rahisi, kama sabaya kaachiwa huyo bibi kadhaanza kuchukua mlengo wa kihafidhina
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
mburudishaji akitumbuliwa utamburudisha wewe? mnapoteza muda huyo wala hatumbuliwi kwakuwa ndiyo hirizi yake kuu kwa kura nyingi za kanda ya ziwa mwakani
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
wazikane tu
 
LHRC wamekaa, UWT wamesimama, hoja ni moja tu, asulubishwe,asulubishwe, asulubishwe, mimi ni nani hata niwapinge.
 
Ngumu sana kumbuka aliyemteua siku yakumuapiza mbele ya vitabu vyadini alimsifu kwa kazi nzuri eti aliwaamsha wao na chama chao...Tena alisema hayo akiwa mwezi mtukufu wa RAMADHANI!!
Nchiyetu imekosa kabisa viongozi, tuna mavi ongoz wengi wasiojua maana wala principles za uongozi na tuna mawanaa nchi wanaosifu hovyo kama mahaya one!
Nchi kitendawili hii!!!
 
Ngumu sana kumbuka aliyemteua siku yakumuapiza mbele ya vitabu vyadini alimsifu kwa kazi nzuri eti aliwaamsha wao na chama chao...Tena alisema hayo akiwa mwezi mtukufu wa RAMADHANI!!
Nchiyetu imekosa kabisa viongozi, tuna mavi ongoz wengi wasiojua maana wala principles za uongozi na tuna mawanaa nchi wanaosifu hovyo kama mahaya one!
Nchi kitendawili hii!!!
Wewe usiyeelewa Mama alilazimishwa kumtoa Makonda haikuwa matakwa yake! Uwe unaelewa na Makonda hawezi kutolewa Ukuu wa Mkoa kwa shutma za kitoto kama hizo!
 
Huyu jamaa kazungukwa na viongozi wa dini wakubwa mfano Cardinal Pengo Ina maana Huwa hawamshauri? Au ndio wanaishi naye kinafiki.
 
Back
Top Bottom