John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 177
Wakuu habari!
Nimetukaniwa Mzazi wangu, matusi ya nguoni, kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu! Aliyenitukana tupo naye mbali kijiografia. Yeye yupo mji mwingine mbali na mimi, wakati mimi nipo mkoa mwingine lakini pia kijijini kabisa!
Kwa heshima ya Mzazi wangu, naweza kutumia njia gani, yaani nianzie wapi kulingana na hii sheria mpya ya matumizi ya mitandao (Cyber Crime)?
Ahsanteni, mbarikiwe sana!
Haaa.. Hii sheria mpya haijakulenga mtu kama wewe Mkuu japo inaonekana hivyo.. So kokote utakapoenda utapoteza muda wako bure unless kama una le grand god father.. Msg kama hiyo angetumiwa kiongozi ndo sheria mpya inge-apply faster yaani...
Pole mwaya
Ignore it
Anyway ninavyojua mtu mpaka amporomoshee mtu mwingine matusi ya nguoni huyo anayetukanwa anakuwa kafanya jambo fulani baya mno.Pamoja na kuwa hutaki kusema kwa nini kakuporomoshea matusi mazito siri unaijua wewe.
Cybercrime kazi yake si kulinda akina chokochoko. Kama umemuanza lazima akumalize kwa kukuporomoshea matusi ya nguoni.Tena shukuru wewe labda si mtu wa Pwani, ungekuwa mtu wa Pwani ingekodiwa ngoma yenye waporomosha matusi maarufu waje wakuporomoshee matusi live na wala sio kwenye simu.
Si uignore tu. Hakuna kitu kinamuuma mwenye chokochoko kama ukimuignore
Hii si mara yake ya kwanza mkuu! Si ataota sugu sasa?
Si uignore tu. Hakuna kitu kinamuuma mwenye chokochoko kama ukimuignore
Hahaha, mkuu kwahiyo nimuache tu jamaa aendelee kutamba? Hii si mara yake ya kwanza ujue!
Wakuu habari!
Nimetukaniwa Mzazi wangu, matusi ya nguoni, kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu! Aliyenitukana tupo naye mbali kijiografia. Yeye yupo mji mwingine mbali na mimi, wakati mimi nipo mkoa mwingine lakini pia kijijini kabisa!
Kwa heshima ya Mzazi wangu, naweza kutumia njia gani, yaani nianzie wapi kulingana na hii sheria mpya ya matumizi ya mitandao (Cyber Crime)?
Ahsanteni, mbarikiwe sana!
Mtu hawezi kukutusi tu bila sababu.
Chama gani wewe kwanza kabla hatujaanza kukusaidiaWakuu habari!
Nimetukaniwa Mzazi wangu, matusi ya nguoni, kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu! Aliyenitukana tupo naye mbali kijiografia. Yeye yupo mji mwingine mbali na mimi, wakati mimi nipo mkoa mwingine lakini pia kijijini kabisa!
Kwa heshima ya Mzazi wangu, naweza kutumia njia gani, yaani nianzie wapi kulingana na hii sheria mpya ya matumizi ya mitandao (Cyber Crime)?
Ahsanteni, mbarikiwe sana!
Nenda na hiyo massage TCRA makao makuu ....