Nimetuma email FIFA for match fixing ya Singida VS Simba

Nimetuma email FIFA for match fixing ya Singida VS Simba

Mlitaka mkutane na mwanenu Singida ili awapanulie miguu kama kawaida yenu,mumeula wa chuya,J2 tunawapiga kama ngoma
Kwa mchezo ulioneshwa na wachezaji wa Simba, kwamba Yanga haikuchezesha mfumania nyavu mpya, na ukuta katili ambao Azamu walifanikiwa kupiga shuti moja tu golini, ni ndoto ya mchana uliyo nayo.
 
Sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana na evidence nitawambia zipo Azam TV Tanzania. Sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku.

Email :integrity@fifa.org

Match fixing shouldn't be tolerated kabisa, toa ushabiki pembeni.

integrity should be respected.

View attachment 2713952
Case number nimepata na password kama wata follow through na my case basi nitaleta mrejesho some day.
Nitumia both emails and portal.


JE NILIREPORT NA INTERPOL SPORT FIXING ??
Punguza povu
FB_IMG_1691721836708.jpg
 
Wala huna Cha maana ulichoandika. Unafikiria FIFA ni kijitaasisi fulani Cha mtaani kwenu? Yaani huna hata evidence na unakuwa guided na mihemko. Mpira ni mchezo wa wazi kabisa ila kama makosa ulikuwa huyaoni, ni wewe. Issue sensitive kama match fixing unaizungumzia kama kishika uchumba. Unahitajika ushahidi hasa beyond reasonable doubt. Singida ila game walicheza Kwa nguvu jambalo ambalo limepelekea kufanya makosa mengi mchezoni.
Unahitajika ushahidi hasa beyond reasonable doubt. Singida ila game walicheza Kwa nguvu jambalo ambalo limepelekea kufanya makosa mengi mchezoni.[emoji818][emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana na evidence nitawambia zipo Azam TV Tanzania. Sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku.

Email :integrity@fifa.org

Match fixing shouldn't be tolerated kabisa, toa ushabiki pembeni.

integrity should be respected.

View attachment 2713952
Case number nimepata na password kama wata follow through na my case basi nitaleta mrejesho some day.
Nitumia both emails and portal.


JE NILIREPORT NA INTERPOL SPORT FIXING ??
Popoma wahedi. Kwanza hakuna timu ya Singida FC. Pili kakuna mtu aliyekulazimisha ubeti for Singida FC. Pole, nyumba yako ndiyo imeenda hiyo, FIFA hawatakusaidia
 
Sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana na evidence nitawambia zipo Azam TV Tanzania. Sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku.

Email :integrity@fifa.org

Match fixing shouldn't be tolerated kabisa, toa ushabiki pembeni.

integrity should be respected.

View attachment 2713952
Hii barua itaishia kapuni (dustbin) tu. Nachojua Match fixing ni timu kupanga matokeo lakin unacholalamika wewe na wengine ni Refa kupendelea timu mojawapo.

Sidhani kama hivi vitu vinahusiana
 
Hii barua itaishia kapuni (dustbin) tu. Nachojua Match fixing ni timu kupanga matokeo lakin unacholalamika wewe na wengine ni Refa kupendelea timu mojawapo.

Sidhani kama hivi vitu vinahusiana
Hajui maana ya match fixing jazba tu ya kuliwa nyumba inamsumbua. Si unaona alivyoichukulia hii issue so personal
 
Umepoteza mb zako. Fifa anafanya kazi na wanachama wake mfano CAF, TFF n.k. Hata timu haziwezi kwenda FIFA bila kupitia TFF. Afu hujui unawatuhumu Simba FC ni timu ya wapi? Ni kwa uandishi huu wa barua?Ulichofanya ni kutokujua utaratibu na hivyo Email yako hata haitasomwa
 
  • Thanks
Reactions: BRN
cha msingi imetumwa. match fixing sio kitu cha kushabikia
Tafsiri ya match fixing ni kwamba baadhi ya wachezaji au maofisa wa Singida FG walifanya vitendo vya makusudi ili wapoteze mchezo kwa Simba. Hapo refa hahusiki. Kwa hiyo wataanza na wale waliokosa penati pamoja na Kakolanya aliyeruhusu magoli kuingia
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Umepoteza mb zako. Fifa anafanya kazi na wanachama wake mfano CAF, TFF n.k. Hata timu haziwezi kwenda FIFA bila kupitia TFF. Afu hujui unawatuhumu Simba FC ni timu ya wapi? Ni kwa uandishi huu wa barua?Ulichofanya ni kutokujua utaratibu na hivyo Email yako hata haitasomwa
Na wachezaji wanaoshtaki CAS huwa wanapitia TFF?

Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo.
 
Na wachezaji wanaoshtaki CAS huwa wanapitia TFF?

Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo.
Muone huyu. Ni vyema mtu asiyejua kitu asiandike kuliko kutuletea mafamba tunaojua. Unadhani CAS ni kilabu cha pombe unaenda tu. Ile ni kama mahakama ya Rufaa kwa mahakama za kawaida, huwezi kuanzia huko. Akili kumkichwa
 
TCB ndo nini?

PCCB makao makuu yake yako Dodoma
Hujaweka sababu za hiyo match fixing
 
Back
Top Bottom