Nimetuma email FIFA for match fixing ya Singida VS Simba

Nimetuma email FIFA for match fixing ya Singida VS Simba

We sema mkeka wako umechanika na ulikuwa umeipa Simba mazima au umeweka 2+

Acha kusumbua watu na hayo malalamiko hao FIFA wenyewe ni wala rushwa wakubwa hakuna atakayehangaika na hiyo barua.
Teh, he heh teh!!! Watu mna maambo!!! Kama kuna kaukweli flani hivi umeongea ndugu!!!


Ndo kusemaa!? Keka la 2+ liliraruka!!!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
uwapelekee na video za reference za Kona goli, penati ya Yanga mlipocheza na namungo na like goli ambalo mpira ukitoka nje ukarudishwa ndani siku mnacheza na Azam.
 
Sio kwa ubaya ila i had to send it, haya mambo tukiacha yatatucost sana na evidence nitawambia zipo Azam TV Tanzania. Sio hater ila things like these shouldn't happen in our football league ever, tumetoka huku.

Email :integrity@fifa.org

Match fixing shouldn't be tolerated kabisa, toa ushabiki pembeni.

integrity should be respected.

View attachment 2713952
Umefanya vzr sna I'll pia hyo barua yako unge Chang I we kwa PDF form
 
I commend your act ila una muda wa mchezo.
Huo muda unaouita wa mchezo kwake unaweza kuta wewe hujaafaidika nao lwa lolote.Wakat yeye anaandika email wewe uko zako kijiweni tu huko au mtandaoni..Bado kaweka hapa ila ukaja ku comment..wabongo na matumiz proper ya muda wap na wapi??sema tu hujapenda initiative ya mwana hapa kwakua imekaa kisomi sana sio zile za kukaa kupiga piga kelele zisizofika popote.

Hii email wameipata na itakaa forever
 
Huo muda unaouita wa mchezo kwake unaweza kuta wewe hujaafaidika nao lwa lolote.Wakat yeye anaandika email wewe uko zako kijiweni tu huko au mtandaoni..Bado kaweka hapa ila ukaja ku comment..wabongo na matumiz proper ya muda wap na wapi??sema tu hujapenda initiative ya mwana hapa kwakua imekaa kisomi sana sio zile za kukaa kupiga piga kelele zisizofika popote.

Hii email wameipata na itakaa forever
Hajatoa sababu za match fixing! ameandika kwa mihemko, atulie na aeleze sababu zake za msingi!

Nikukumbushe tu, wengi walidhani refarii amekataa goli kwa sababu zake binafsi, VAR ingekuwepo ingekusaidieni sana! lines Man alinyoosha bendera muda mrefu sana kabla ya goli kuingia, bahati mbaya refa hakuona.

Pia, wachezaji wa Singida F. Gate walishindwa ku contain haisra zao mbele ya Refa, hii ilipelekea kucheza kwa hasira huku wakimfokea refa mara kwa mara, rejea video za Kakolanya.

Kiujimla, refa alijitahidi sana kuwa fair, na kuepusha mikanganyiko hasa katika maeneo ya hatari, rejea mpira uliyo mgonga mkononi Gadiel Michael akiwa ndani ya box, action ya wachezaji wa simba baada ya refa kukataa haikuwa ya maudhi kwa refa.

Mpira ulikuwa fair, ila saikolojia ya wachezaji wa SFG haikuwa sawa, na waliamini wameonewa, zaidi walitafuta dro ili waingie kwenye matuta, naamini walidharau uwepo wa Ally pale golini, huku histori ya simba kwa sasa katika upigaji penati ukiwa sio bora.

Je, kabla ya goli kuingia, kulikuwa na off side au haikuwepo?
 
Huo muda unaouita wa mchezo kwake unaweza kuta wewe hujaafaidika nao lwa lolote.Wakat yeye anaandika email wewe uko zako kijiweni tu huko au mtandaoni..Bado kaweka hapa ila ukaja ku comment..wabongo na matumiz proper ya muda wap na wapi??sema tu hujapenda initiative ya mwana hapa kwakua imekaa kisomi sana sio zile za kukaa kupiga piga kelele zisizofika popote.

Hii email wameipata na itakaa forever

Nawewe unamuda wa mchezo kuandika hiyo ngonjera yako.
 
tell me the date and the match na referee mimi na report, TFF wanataka kuaribu mpira wetu they should be stopped
Mechi ya yanga na geita refa alitenga penalt mpira ukiwa katikati ya uwanja
 
Hajatoa sababu za match fixing! ameandika kwa mihemko, atulie na aeleze sababu zake za msingi!

Nikukumbushe tu, wengi walidhani refarii amekataa goli kwa sababu zake binafsi, VAR ingekuwepo ingekusaidieni sana! lines Man alinyoosha bendera muda mrefu sana kabla ya goli kuingia, bahati mbaya refa hakuona.

Pia, wachezaji wa Singida F. Gate walishindwa ku contain haisra zao mbele ya Refa, hii ilipelekea kucheza kwa hasira huku wakimfokea refa mara kwa mara, rejea video za Kakolanya.

Kiujimla, refa alijitahidi sana kuwa fair, na kuepusha mikanganyiko hasa katika maeneo ya hatari, rejea mpira uliyo mgonga mkononi Gadiel Michael akiwa ndani ya box, action ya wachezaji wa simba baada ya refa kukataa haikuwa ya maudhi kwa refa.

Mpira ulikuwa fair, ila saikolojia ya wachezaji wa SFG haikuwa sawa, na waliamini wameonewa, zaidi walitafuta dro ili waingie kwenye matuta, naamini walidharau uwepo wa Ally pale golini, huku histori ya simba kwa sasa katika upigaji penati ukiwa sio bora.

Je, kabla ya goli kuingia, kulikuwa na off side au haikuwepo?
Evidence sent and more evidence will be sent . Yule Refa kuna mtu anamfatilia . Let’s hope aje na positive results . Picha zake na jina were sent to FIFA . Na history of corruption reported
 
Corruption - kiasi gani? Toka kwa nani kwenda kwa nani? Wapi? Muda gani? Kusudi gani?
These things will come out even years later . If it’s reported . Data will link sio swala la siku moja
 
Back
Top Bottom