Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,471
Najua but again it is irrelevant kwa huu uzi
Ukisaidiwa saidika, hizo wiring instructions huwa zipo wazi tu,normally unapata hizo taarifa hata kwa website, lakini mtu keshatuma pesa, hizo details zinamsaidiaje sasa?
attachment nyiiingi hakuna unachoongea, hizo details zitamsaidia mtu ambaye anataka kufanya transaction lakini kama transfer ishafanyika (ambayo ndio mada hapa), hizo zitamsaidiaje ku-Trace?
Ukifundishwa fundishika mdogo wangu, umemaliza form four 2012 nini?
Doh!
Afadhali umejijua wewe ndio moja wa mabenker tunao kutana nao humo kwenye macounter ya bank zetu?
Na lazima ulifeli ndio ukaishia bank maana wengi tu walipata 4 na 0 wamerudi kuanzia certificate za banking huko IFM
Mleta mada alinielewa na like akanigongea
Tumekuelewa umesikika uko kwa banking industry