Unakuhusu nn mr
Inaninusu maana MwanJF anakaa katika mazingira hatarishiUnakuhusu nn mr
Tumia vidonge nenda duka la dawa wakupe hayo majibu yatapotea yenyewe.Nimetumia karafuu haija nisaidia....nisaidieni njia nyingine🙏View attachment 2481522
But why 😂😂😂😂😂😂...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo