Nimeua nyoka mkubwa Mikumi

Nimeua nyoka mkubwa Mikumi

Wewe hapo mikumi sisi tulikuwa tunaelekea chini crater kupindi hicho unaotea barabara yakufika chini tulikutana na anakonda kipindi mdogo tu baba alikuwa ndio dereva tulitahamaki baba yangu akakaa kimya akasema tusimuue tumuache tu aende zake tukamuacha kwa dakika kadhaa akaenda zake .
Unamuua kakufanyaje.
 
Unamuua kosa lake nini?? Amehatarisha maisha ysko?? Huo ni ushamba kama ushamba mwingine,binafsi kiumbe chochote kisicho na hatari ya kuhatarisha naisha yangu naachana nacho!!tena isitoshe mbugani kwenye makazi yake!
 
Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.

Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.

Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
huu uliifanya ni upumbavu, unafanya mambo ya kipumbavu unakuja kujisifu.shenz
 
Nyoka mkubwa usingethubutu kutoka ndani ya gari.
Ni kosa,ni false policy kumuua nyoka bila sababu. Itafika siku,nyoka atakuja kukusabahi.
 
Sasa umemuuwa wa Nini?

Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye.

Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Na ana bahati sana kama ni kweli alishuka pale mikumi kwenda kumuua huyo nyoka
 
Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.

Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.

Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
Mikumi, nyoka yupo nyumbani kwake,unatakiwa ushtakiwe kwa kuua nyara za serikali! Umemfuata porini then unamuua?
 
Sasa umemuuwa wa Nini?

Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye.

Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Humfahamu nyoka mjomba/shangazi
 
Wewe hapo mikumi sisi tulikuwa tunaelekea chini crater kupindi hicho unaotea barabara yakufika chini tulikutana na anakonda kipindi mdogo tu baba alikuwa ndio dereva tulitahamaki baba yangu akakaa kimya akasema tusimuue tumuache tu aende zake tukamuacha kwa dakika kadhaa akaenda zake .
Unamuua kakufanyaje.
Bado una utoto. Hakuna Anaconda Tanzania wala Afrika
 
Back
Top Bottom