Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
huu uliifanya ni upumbavu, unafanya mambo ya kipumbavu unakuja kujisifu.shenzNikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.
Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.
Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
Na ana bahati sana kama ni kweli alishuka pale mikumi kwenda kumuua huyo nyokaSasa umemuuwa wa Nini?
Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye.
Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Itakua magomeni hii labdaIyo mikumi uliyo tekeleza mauaji hayo ni hii mikumi ya mbugani au mikumi magomeni
🤣🤣 Ajabu sana...Sasa mkuu kuuwa nyoka tu umekuja kuanzisha uzi
Ya nyoka na gariTupia picha
Ova
Itakuwa ivyo mkuu, maana kama ile ya mbugani sijui kama sahii angekuwa ana payuka payuka chai zake hapaItakua magomeni hii labda
Mikumi, nyoka yupo nyumbani kwake,unatakiwa ushtakiwe kwa kuua nyara za serikali! Umemfuata porini then unamuua?Nikitokea Morogoro kuelekea Iringa alfajiri ya leo mwanzoni mwa hifadhi ya mikumini nikakutana na joka kubwa limetulia barabarani, niliyekuwa naye akashauri tusiligonge akaanza kunipa Visa vya koboko aka black mamba kuwa unaweza kumkosa akajificha kwenye uvungu wa gari ukishuka anakugonga.
Nikaona sio kesi, nikashuka nikachukua jeki, nikamtandika mgongoni nadhani nilivunja kabisa uti wa mgongo akawa anarandaranda tu pale nikatafuta kipande cha fimbo nene nikamtandika kichwa shughuli ikaisha nikamtupa pembeni safari ikaendelea.
Nyoka yoyote anayekatisha mbele yangu huwa nampelekea moto bila kujali yuko eneo gani, nyoka ni nyoka tu hata kama ni wa royo tuwa.
Are you serious? Biology form two,Vetabrates ni wanyama wote wenye uti wa mgongo akiwemo nyoka, kumbuka nyoka siyo jongooKwamba nyoka ana uti wa mgongo?
Humfahamu nyoka mjomba/shangaziSasa umemuuwa wa Nini?
Infact wala sio sifa. Huyo nyoka umemfuata hifadhini, ndio kwake hapo ni wewe ndio hukutakiwa kuwa hapo sio yeye.
Umemuonea Bure na Wala hujafanya ushupavu wowote!
Kuhusu koboko tema mate chini..!
Kama umeua mikumi ya hifadhi jiandae kwenda jela
Bado una utoto. Hakuna Anaconda Tanzania wala AfrikaWewe hapo mikumi sisi tulikuwa tunaelekea chini crater kupindi hicho unaotea barabara yakufika chini tulikutana na anakonda kipindi mdogo tu baba alikuwa ndio dereva tulitahamaki baba yangu akakaa kimya akasema tusimuue tumuache tu aende zake tukamuacha kwa dakika kadhaa akaenda zake .
Unamuua kakufanyaje.