Nimeuchoka Mwili wa Kibantu

Nimeuchoka Mwili wa Kibantu

Leta ubishi wako kaa na unene wako.

Nikupunguzie? unautaka?

Hivi mchicha kwa kiinglish unaitwaje..??

Nilitaka kusema mchicha mbichi mpishi mbishi...😜 kwa kiinglish.
 
Itakuwa mzee baba hakupelekeagi moto ndio maana mwili wa kibantu unakuandama.

Ushauri :
Gongwa kutwa mara 3 utarudi ujanani, kitambi kitatoweka ndani ya mwezi tu.

Utakuja kunishukuru

Waapiiii tunapumzika jumapili tuu.....

Hizi genes 🧬 nyoso kweliii, shangazi yangu mmoja kaniambia welukamu tuze weldi....!😒
 
Kitambo kidogoo...

Muda mchache majukumuu kibaooo

Umri unasonga mwili nao huooo jumbaaaa....

Jamanii mwili wa kibantu, nshauchokaa...

Yaani unanenepa sehemu na sehemu tuu...

Mikonoo, uso, mapaja, miguu tuuumbooooooo, tutako nehiiii 😞😞😒

Diet sana, mazoezi sanaa ila baada ya mwaka with the same lifestyle consistency asili inarudi palepale....☹️☹️🙁🙁😔😔😔😕😞😞😞😒😏😏😏😏😏

Nimechoka kitu kinaitwa asili/ genes.....

I just want to see the little me holding my wine glass every friday 😍.



View attachment 2204180

One bottle/man down...

Special kwa wale wanaoulizia kapicha ka kusindikiza uzi....

Kasinde Mabaha.

2022.

Ha haaaa....Relax and enjoy every moment these things come with age. Kikubwa uzima
 
Ha haaaa....Relax and enjoy every moment these things come with age. Kikubwa uzima
Amen 🙏

I’ve just take my chill pill...

Cool beans, nimekubali yaishe...
 
Mimi ni mchoraji mzuri pia sasa nimejaribu kumchora madam kutokana na maelezo yake 🥺🥺🥺🥺siwezi tuma hiyo pic hapa🥺🥺🥺🥺
 
Ushauri sio kuduu ushauri ni ugongwe fwata ushauri hii ni tiba
Afu kweli bwana,nami nimeona kunatofauti kipindi nilipokuwa naduu sana na nilivyostop.Aisee sitaki utukunyema ngoja nianze tena
 
Kitambo kidogoo...

Muda mchache majukumuu kibaooo

Umri unasonga mwili nao huooo jumbaaaa....

Jamanii mwili wa kibantu, nshauchokaa...

Yaani unanenepa sehemu na sehemu tuu...

Mikonoo, uso, mapaja, miguu tuuumbooooooo, tutako nehiiii 😞😞😒

Diet sana, mazoezi sanaa ila baada ya mwaka with the same lifestyle consistency asili inarudi palepale....☹️☹️🙁🙁😔😔😔😕😞😞😞😒😏😏😏😏😏

Nimechoka kitu kinaitwa asili/ genes.....

I just want to see the little me holding my wine glass every friday 😍.

View attachment 2204180

One bottle/man down...

Special kwa wale wanaoulizia kapicha ka kusindikiza uzi....

Kasinde Mabaha.

2022.
Wewe umeuchoka mwili wa kibantu na Wamexico na Wahindi wasemeje kuhusu miili yao?
 
Kasinde mahaba au kasinde mabaha
Nisamehe dada mbantu,naingilia mada yako. Natamani nipate mke kupitia hii thead yako. Mimi ni mume mtarajiwa wa mke ntakaempata hapa. Naishi na VVU mwaka wa 11 sasa. Naumia moyo nnavotoka na wanawake ambao wako salama japo natumia condom. Natamani nipate mwenzangu ili tuishi wote kwa matumaini. Nimejaribu kuzungumza na ma doctor mahali nnapochukulia dawa ili walau kama kuna mtu anataka mme mwisho wa siku nikakutana na dada ambae anajiuza kavurugwa mpaka basi. Nikashindwa kwasababu mimi ni mpole siyo mhuni ila nakunywa pombe kidogo ili kupoteza mawazo. Niko serious natamani nipate mwenza mwenye VVU naamini tutapenda daima mpaka kifo. Nisamehe kwa kuwaingilia.
 
Kitambo kidogoo...

Muda mchache majukumuu kibaooo

Umri unasonga mwili nao huooo jumbaaaa....

Jamanii mwili wa kibantu, nshauchokaa...

Yaani unanenepa sehemu na sehemu tuu...

Mikonoo, uso, mapaja, miguu tuuumbooooooo, tutako nehiiii [emoji20][emoji20][emoji19]

Diet sana, mazoezi sanaa ila baada ya mwaka with the same lifestyle consistency asili inarudi palepale....[emoji3525][emoji3525][emoji853][emoji853][emoji17][emoji17][emoji17][emoji53][emoji20][emoji20][emoji20][emoji19][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Nimechoka kitu kinaitwa asili/ genes.....

I just want to see the little me holding my wine glass every friday [emoji7].

View attachment 2204180

One bottle/man down...

Special kwa wale wanaoulizia kapicha ka kusindikiza uzi....

Kasinde Mabaha.

2022.
Dadaangu kuna ujumbe nimeuweka hapo chini. Naomba uupitie dada naamini utanisaidia.
 
Nisamehe dada mbantu,naingilia mada yako. Natamani nipate mke kupitia hii thead yako. Mimi ni mume mtarajiwa wa mke ntakaempata hapa. Naishi na VVU mwaka wa 11 sasa. Naumia moyo nnavotoka na wanawake ambao wako salama japo natumia condom. Natamani nipate mwenzangu ili tuishi wote kwa matumaini. Nimejaribu kuzungumza na ma doctor mahali nnapochukulia dawa ili walau kama kuna mtu anataka mme mwisho wa siku nikakutana na dada ambae anajiuza kavurugwa mpaka basi. Nikashindwa kwasababu mimi ni mpole siyo mhuni ila nakunywa pombe kidogo ili kupoteza mawazo. Niko serious natamani nipate mwenza mwenye VVU naamini tutapenda daima mpaka kifo. Nisamehe kwa kuwaingilia.
Kasie ya moyoni mwake amekwisha yaelezea sasa ni wakati muafaka wa pm kutumika huko tunawaachia ninyi.
 
Kasie matata...mwanamke mtulivu na mwenye tabasamu muda wote uso mwake. Hana papara, maamuzi ya kiutu uzima. When on her min-skrits, acha kabisa!!

She knows how to love.

Keep enjoying and smiling with your lovely body Kasie Matata.

Coz Mungu kaumba watu wa aina mbalimbali warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi-maji ya kunde- weupe. Hawa wote ni wa Mungu
Kasinde mahaba au kasinde mabaha
 
Kasie matata...mwanamke mtulivu na mwenye tabasamu muda wote uso mwake. Hana papara, maamuzi ya kiutu uzima. When on her min-skrits, acha kabisa!!

She knows how to love.

Keep enjoying and smiling with your lovely body Kasie Matata.

Coz Mungu kaumba watu wa aina mbalimbali warefu kwa wafupi, wanene kwa wembamba, weusi-maji ya kunde- weupe. Hawa wote ni wa Mungu
Watu wa sudan kusini ushabahatika kukutana nao
 
Kasinde Matata...[emoji6].
Mikonoo, uso, mapaja, miguu tuuumbooooooo, tutako nehiiii [emoji20][emoji20][emoji19]
Kasie Matata akiwa mazoezini kupunguza nyama uzembe.
Screenshot_20220430-213122.jpg
 
Back
Top Bottom