Nimeuchoka ubinafsi wa Waafrika huko youtube, hawaweki link za kudownload wanaweka namba ili wakuuzie vitu walivyopata bure

Nimeuchoka ubinafsi wa Waafrika huko youtube, hawaweki link za kudownload wanaweka namba ili wakuuzie vitu walivyopata bure

Jana nilikuwa nahangaika ku unlock router isome laini zote nikawa naona kuna videos nyingi za Cameroon, Nigeria, Zambia na hata Tz. Hizi videos wanaonyesha maelekezo hatua kwa hatua lakini hawaweki link ya kudownload vifaa, wanaweka namba, ukiwasiliana nao waomba pesa.

Sio kwa ubaya ningeweza kulipia lakini wanachouza hawajatengeneza wao, ni wafilipino na wachina wameumiza vichwa na wanashare bure kabisa, iweje mtu adownload bure na aanze kuuzia wengine ?

Niliweza kufanikisha zoezi kupitia forums za wafilipino wanaotengeneza hizo tools ambazo waafrika wenzetu wanazodownload alafu wanakuja kuziuza uadhani ni wao wameumiza vichwa.

Inshangaza sana huu ubinafsi, tutafika tukiwa tumechoka sana, Ndio maana sio ajabu kukuta waafrika ni wadau wa kudownload torrents lakini wao hawapo tayari kuzipandisha,
Hiyo router ni ya aina gani? Taja model japo umeshaiunlock.. kuna router zipo ndani nimetafuta solution nimekosa kitambo sana isije ikawa zishapata ufumbuzi
 
Hao wagipino hamna namna yoyote wananufaika. Huenda hio kwa ni portifolio ya kuwasaidia kujitangaza kupata deals.
 
Ukiswashairi IT sciensist nso wa crack. Sio kika kitu kuokota kwa wazungu na waasia halafu wakituambia sie ni nyani tunakataa.
Yaani mtoto wa kizungu aliezaliwa mwaka 2000 aweze ku scratch kichwa aisi tuliozaliwa na kukutwa na teknolojia ni MAHOKA. Tunatakiwa tujitafakari sana.
Sisi waafrika kutokuwa na uwezo tuna ona kawaida wakati wenzetu ni fedheha.
 
Back
Top Bottom