valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi ka
Uongo na unafiki dhambi sasa jamani mumuogope hata mungu kulazimisha uongo uwe ukweli.hata kama hukumpeda usilazimishe wote wakubaliane na huo uzushi wako.Sio kwa DC na DAS
wa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Huyo jamaa ni kilazaSiku zote DC anaapishwa na RC
Magufuli hajawahi kumualisha mkuu wa wilaya. Siku zote mkuu wa wilaya anaapishwa na mkuu wa mkoaYani unashindwa kusema alikuwa ajali Katiba , unatafuta maneno ya busara kwenye sheria?
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa una matatizo ha kisaikolojia, Magufuli hakuwahi kuwaapisha wakuu wa wilaya, unaambiwa kila Mara hili Ila huelewiMakonda Kipindi cha Rais JK alipoteuliwa kuwa DC wa Kinondoni aliapishwa na nani? Nikumbusheni upesi.
Je, mna uhakika kuwa katika Uongozi wa Hayati Rais Dk. Magufuli 2015 hadi tarehe 17 Machi, 2021 hawa DC's achaneni na DED na DAS bawakuwahi Kuapishwa nae Ukumbini kwa Upamoja ( Uwingi ) wao?
Sabaya aliapishwa na huyohuyo Anna Mghwira, hivi ni kuwa hamfatilii au mmeamua kuwa wajinga?Uamuzi mzuri sana, Nawaza Sabaya na Kiburi chake cha "uandakava"feki angeapa kwa mama mghwira kweli, ?
Bora hata JOJO amepelekwa Dar apate mwanaueme aise, maana uzazi kwa wanawake unakoma miaka ikifika 40, sasa ana miaka 35 hana hata mchumba.
Kwa hiyo tukubaliane kitendo cha DC kujitutumua "MIMI NDO MWAKILISHI WA RAIS" si sahihi inatakiwa aseme yeye ni mwakilishi wa RC?Huwa una matatizo! DC anaapishwa na RC maana ni msaidizi wake kikatiba
Umeitwa?Tunapoteza muda hapa.
Lini waliapa kwa Rais?Huu utaratibu ulianza kubadilika kwa JPM wakuu wa wilaya wakawa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoa.
Utahaira wako Wewe ulipona Siku gani?Wewe jamaa una matatizo ha kisaikolojia, Magufuli hakuwahi kuwaapisha wakuu wa wilaya, unaambiwa kila Mara hili Ila huelewi
Na bado ' 24/7 ' unamfuatilia tu hapa JF.Huyo jamaa ni kilaza
Wewe ni either umeachwa na mumeo au una tatizo la akili.Utahaira wako Wewe ulipona Siku gani?
Nimejulishwa kuwa kuanzia sasa ( Awamu ya Mama japo ya Hayati ilijaribu ila ikatoweka ghafla ) ni kwamba ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri, Mabalozi, Wakuu wa Idara Nyeti na Wakuu wa Mikoa tu ndiyo watakuwa wanaapishwa na Rais akiwa mbele yao.
Kuanzia Wakuu wa Wilaya, DED na DAS sasa watakuwa wanaapishwa na Wakuu wa Mikoo tu huko ambako wamepangiwa baada ya Kuteuliwa.
Napongeza sana hatua hii ( Maamuzi haya ) kwani kwa Mtazamo wangu GENTAMYCINE nilikuwa naona 'Wateuliwaji' wote hawa ( hasa RC' na DC's ) Kuapishwa na Mheshimiwa Rais ilikuwa ni kutowapa Mipaka yao na hata Kuwafanya DC's wajione wako juu ya RC's wao na wakati mwingine hata 'wakidharauliana' pia.
Sawa DC's wote mmeteuliwa na Mheshimiwa Rais lakini 'Kudadadeki' zenu wote ( nyote ) kuanzia Kesho 'mtaapa' mbele ya RC's sasa ole wenu mkiwa huko mjifanye mpo juu yao au muanze kuwa 'Masnichi' na Kuwapikia 'Majungu' kwa Mama ili 'watumbuliwe' na mpandishwe Vyeo hivyo nyie.
Oya DC mpya wa Siha leo 'Gambe' wapi?
Wewe ulipona lini?Bwana wewe Kama una ndugu hapo karibu mwambie akuwahishe mirembe kabla Hali haijawa mbaya,kadri siku zinavyokwenda nakuona unazidi kuwa empty tin
Nikufatilie wewe? Ulishaona wapi mwanamke anaolewa na wanaume wawili?Na bado ' 24/7 ' unamfuatilia tu hapa JF.
Kama Wewe Basha wako alivyokuacha.Wewe ni either umeachwa na mumeo au una tatizo la akili.
Hivyo vitu ukienda Google tu unapata ukweli kabla ya kukimbilia kupost