Nimeufurahia utaratibu wa kuwaapisha wateule wa Rais; utaleta heshima na kutodharauliana

Too muc know ni shida. Jamaa kaleta mada akihisi yuko sahihi. Baada ya kupata maelekezo na mifano hai, BADO anashupaza shingo tu. Muugwana angekubali kukosolewa na maisha yakaendelea.
Anyway JACK OF ALL TRADES, MASTER OF NONE
Angalia ulivyo Muoga unaacha Kunikabili kwa ID zoeleka hapa JamiiForums umeamua uje na hii mpya ili udhani sitokujua. Kweli GENTAMYCINE ni Kiboko....!!!
 
Thread ya hovyo jf tangu Mama Samia achukue nchi.
 
Lengai Ole Sabaya aliapishwa na nani?
Nimekusaidia kukuletea hii taarifa nikiamini una akili sio Kama za mtoa post. ole sabaya aliapishwa na mama Anna mghwira
DC wote wanaapishwa na EC, Raisi hajawahi kumuapisha DC, labda kipindi Cha ukoloni huko
 
We ni kilaza sana ,haijawahi tokea DC kuapishwa na Rais Tangu uhuru,unatia aibu ujue
 
Nimesikitika sana kuona kuwa NI NGUMU KWA MTU KUKUBALI KUWA AMETELEZA KWA KUTOKUJUA VIZURI KISA ATAONEKANA HAJUI YOTE. Lakini naamini kukubali kushindwa ni vizuri kwa sababu kukataa kushindwa kunadhihirisha UJINGA NA UONGO KATIKA TAARIFA TUZITOAZO
 
Mara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Wewe umetokea wapi? Haya mambo mbona ni miaka yote yako hivyo? UVCCM mnatapatapa sana aisee.
 
Mkuu Gentamycine ma dc huo utaratibu ni wa siku nyingi mbona
Nisaidie Kuniulizia kwa hawa 'Wapumbavu' hapa Juu wanaonishanbulia Kutwa tena hadi Wakikiri Kutonikubali ( Kutonipenda ) kuwa inakuwaje sasa 24/7 hawaachi Kusoma na hata Kuzichangia 'threads' zangu? Kwani JF Members wenye Akili wameisha hapa Jamvini hadi wapoteze muda Wao mwingi Kusumbuka na GENTAMYCINE aliyebarikiwa Vitu vingi na Mwenyezi Mungu kuliko wao Waliolaaniwa na Kulaanika Kiakili?

Cc: mdukuzi, Born City, shinji, Countrywide, Chinga One, digba sowey, Statesman, Nicsta
 
Hata hivyo ni baada ya kila uapisho alitumia muda huo kwa ajili ya kulihutubia taifa
Mara nyingi kwa Hayati Dkt. JPM Yeye 'Shoo' zote hizo alikuwa anazisimamia Mwenyewe Ikulu na akimaliza 'Kuwaapisha' anaanza Kuwananga ( Kuwasema ) huku akiwapiga mno 'Mikwara' yake Mbuzi.
Hh
 
Achana nao
 
Mdogo wangu hapa umechemka
 
Siku zote mkuu wa mkoa ndio anaapishwa na rais na wakuu wa wilaya wanaapishwa na wakuu wa mikoa.

Ni utaratibu wa miaka yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…