Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Habari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi