NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Moja kati ya watumishi was Mungu ambao nimeshindwa kuwa hata na hamasa ya kumfuatilia ni huyo jamaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuuHabari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi
Utang'olewa shingo na watu wake si muda.Mimi simo.Huyo Mwamposa nae ni sawa na shetani tu.
Akafanana na mpendwa au Mbilia Bel?Grazia venerale!😂🙏Itakua ulivaa shati la kitenge pia
Kwa huyo Mamposa wanaenda watu wajinga ndiyo maana. Mimi ningefurahi sana kama wangekuwa wanaenda watu kwenda kumwabudu Mungu. Lakini umati ule wote wanaenda eti kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya umaskini, magonjwa na kila aina ya shida. Umaskini, shida na mateso huisha kwa sala?Sasa hilo ni la kukuchukiza?Wangekuita wa kwa shetani ungejisikiaje?Hebu tulia wewe!
Mwanaume unabebaje shangazi kajaHabari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi
Wasaidie ndugu yangu.Kama sala haziondoi vifungo vya umasikini,shida na mateso,wafanye nini?Kwa huyo Mamposa wanaenda watu wajinga ndiyo maana. Mimi ningefurahi sana kama wangekuwa wanaenda watu kwenda kumwabudu Mungu. Lakini umati ule wote wanaenda eti kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya umaskini, magonjwa na kila aina ya shida. Umaskini, shida na mateso huisha kwa sala?
Angebeba nini wakati shangazi ni baba?Mwanaume unabebaje shangazi kaja
You deserve kuitwa ivo asee
Wafanye kazi kwa bidii. Nothing compasate hard work. Wawajibishe viongozi wa nchi. Wawe na nidhamu kwenye matumizi.Wasaidie ndugu yangu.Kama sala haziondoi vifungi vya umasikini,shida na mateso,wafanye nini?
😂😂😂😂Angebeba nini wakati shangazi ni baba?
Aaaah😊Kweli kabisa wewe ni wa kwa Mwamposa, hata kuandika kwako inathibitisha hilo 😎
Ukiandika marlboro au adidas watoto hawaelewi.Mleta uzi kaandika shangazi-kaja ili hata watoto wamuelewe.😂😂😂😂
Angebeba ata malboroo
😂😂😂😂😂😂sawaaaaUkiandika marlboro au adidas watoto hawaelewi.Mleta uzi kaandika shangazi-kaja ili hata watoto wamuelewe.
Afu analaumu watu kumbe kajieka mwenyewe ivooAkafanana na mpendwa au Mbilia Bel?Grazia venerale!😂🙏
Kakanyage mafuta, hasira itapungua.Habari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi