Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Kweli kabisa wewe ni wa kwa Mwamposa, hata kuandika kwako inathibitisha hilo [emoji41]
[emoji81][emoji81][emoji81]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa wewe ni wa kwa Mwamposa, hata kuandika kwako inathibitisha hilo [emoji41]
Sasa ningebeba vitu vyangu kwenye nini?Mwanaume unabebaje shangazi kaja
You deserve kuitwa ivo asee
Ni zama zake acha apige pesa!
Mkuu,Habari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi
Ulishindwa kwa jina la Yesu kurusha ngumi😂Habari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko.
Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa Mwamposa, nikauliza ni nini wakasema abiria wa mkoani wameongezeka kwa tukio la Mwamposa.
Mind you, mimi narudi kwangu sio kwa Mwamposa, ilikuwa kidkgo nirushe ngumi
nimebeba shangazi kaja