MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Imeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo katika soko huru NiggaImeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Kwa sababu wanauza, wangekuwa hawauzi tusingenunua kwaoImeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Hata hao UAE wanunua nyama kutoka kwetu so there's no big deal tupo kwenye trade liberalisation.Imeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Imagine Mashudu ya Morogoro unanunua Ghali sana kuliko yaliyotoka Moroco.Bongo vyakula vya kuku bei ghali sana. Ni kukomoana mpaka wageni wanapata fursa ya kutuletea vya kwao visivyo na ubora
Hata kwenye idara ya Ujenzi.Mwafrika anapenda sana Faida kwa kila kidogo anachofanya
Shida ni kubwa sana hap bongoHata kwenye idara ya Ujenzi.
Baadhi ya wadau huagiza mzigo wa finishing toka nje ya nchi kwa sababu mbili:
- Kupunguza gharama. Yaani akinunua vifaa vya vinishing hapa nchini ni hasara kubwa.
- Kupata vifaa vyenye quality kubwa.
Halafu inawekwa makoponi, unauziwa Tena BongoHata hao UAE wanunua nyama kutoka kwetu so there's no big deal tupo kwenye trade liberalisation.
Kodi ni kubwa mno vya kwetu , tutafakari kwa upya iiih !Shida ni kubwa sana hap bongo
Wanafanya hivyo ili waweze kupata mianya ya RUSHWA na upigaji PESA hakuna chochote hapoImeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
Si kila kuku ama Michele ama chakula fulani kikinunuliwa nje ina maana kina replace ndani, kuna Mapishi ambayo ya nahitaji vitu fulani exactly ambavyo huwezi pata soko la ndani.Imeniuma Sana kusikia kuwa TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani, Saudi Arabia, UAE, Cyprus na South Africa. Unadhami sababu ni nini?
HahahHalafu inawekwa makoponi, unauziwa Tena Bongo
Ni bora kutawaliwa na Wazungu kuliko kutawaliwa na Weusi wenzetu CCM, ni tatizo kubwa, na wenyewe mnashuhudia. yanayotokea.Hata kwenye idara ya Ujenzi.
Baadhi ya wadau huagiza mzigo wa finishing toka nje ya nchi kwa sababu mbili:
- Kupunguza gharama. Yaani akinunua vifaa vya vinishing hapa nchini ni hasara kubwa.
- Kupata vifaa vyenye quality kubwa.