QUALIFIED BIOLOGY TEACHER
Member
- Oct 27, 2024
- 33
- 277
Natazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una m-banga bwashee..?Natazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
Tajiri haajiliwi!Natazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
Wewe kubali huna sifa uendelee kujaribu ukifikiri unaonewa utakosa kila siku na utashindwa kurekebisha matatizo yako!Natazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
Pole sana ndugu yangu, kikuepukacho kina heri ndani yakeNatazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
Ifike mahali sisi masikini tuache kujifarijiPole sana ndugu yangu, kikuepukacho kina heri ndani yake
Umefukunyua kaburi 😄 🤣 la juzi, jamaa anatunga kila leo kutufurahisha
Namkumbusha asi huzunike, ualimu bado upo😂Umefukunyua kaburi 😄 🤣 la juzi, jamaa anatunga kila leo kutufurahisha
Ualimu kaambiwa hakuna rushwa zaidi ya kesi za vitotoNamkumbusha asi huzunike, ualimu bado upo😂
sema kaka umasikini mbaya kudadadeki, sometimes huwa nashukuru kimya kimya.Ualimu kaambiwa hakuna rushwa zaidi ya kesi za vitoto
Umasikini ni Laana kubwa sanasema kaka umasikini mbaya kudadadeki, sometimes huwa nashukuru kimya kimya.
Imagine mtu una muona kapigana kufikia uzeeni, ana Jenga chumba na sebule.
Halafu mi dogo tu, nina mjengo ambao sidhani Kama ata upata.