Nimeumia sana na sijafurahishwa na ushindi wa Tundu Lissu

Wacha propaganda za kisenge wewe mtoto, Mbowe alikuwa hana issue tena CHADEMA, alishindwa urais na alikuwa hana muelekeo wowote wa kukiendeleza chama zaidi ya kucheza makida makida tu na CCM. Apotee tu, tushamchoka.
Mtamkumbuka sana . Maana saizi mmejaa Mihemuko tu
 
Sijasoma bandiko lako na ni mala chache usoma uzi wako.nakuomba lile neno unaloanzaga nalo ndugu zangu watz husilitumie kwa sababu wewe ni adui mkuu wa wananchi.
 
Sijasoma bandiko lako na ni mala chache usoma uzi wako.nakuomba lile neno unaloanzaga nalo ndugu zangu watz husilitumie kwa sababu wewe ni adui mkuu wa wananchi.
Bila shaka wewe ni mhamiaji haramu.maana sisi watanzania wote ni kama Ndugu
 
Si
Sasa za maridhiano ni siasa hatari sana
 
Ulitakiwa ububujikwe machozi ya furaha
 
Nilikuwa sisomi mada zako ila hii nimeisoma nikaishia pale ulipojifanya una uchungu na chadema. Ushindi wa lisu ni pigo kubwa kwa ccm n kwa tarifa yako ni kwamba chadema itaongeza wanachama hai wengi kuliko wakati wowote hapo nyuma.
 
Wanaoumia sana wanafikia viwango vya kukata roho,hivyo kama hujafikia kiwango hicho inawezekana wewe unasumbuliwa na wivu tuu.
 
Na wanaoamini hivi kuwa hata 2025 CCM watafanya hivi na hakuna wa kuwazuia ndio wanaopiga makelele kuwa Lissu ni mropokaji na hana hakima. Tunahitaji waropokaji ili wapate shinikizo la matendo yao maovu
 
Mama yako ni mzazibar na zanzibar ni nchi unajua hilo?

Huku kwetu mbozi tumepata HASARA sana kuwa na kiazi kama wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…