Nimeumia sana na sijafurahishwa na ushindi wa Tundu Lissu

Poleni sana Wana CCM kwa msiba uliowapata
 
Wewe kidampa kweli hujitambui ukishapewa mada hujifikirishi unatupa gazeti humu.

Lissu anambaguaje Samia ambaye kweli ni mzanzibari mwenye kitambulisho cha mzanzibari mkaazi hapo pichani ambacho wewe na Lissu hamna hicho kitambulisho sababu sio wazanzibari?

Kisha wewe unaumia nini watu wakiondoka Chadema au ikisambaratika wakati wewe sio mwanachama au mfuasi wa Chadema bali ni kidampa huko Lumumba?

Jipange upya na CCM mfanye uchaguzi kura zipigwe live na watu wahesabu mbele ya camera sio yenu hiyo Samia anajichapishia fomu moja na kujiteua kuwa mgombea urais na nyie mnainamisha vichwa chini na kusema zidumu fikra za mwenyekiti.

Lissu na wewe hamuwezi kupata hata hatua mbili za ardhi Zanzibar ila Samia anapata mahekari Tanganyika na Zanzibar sasa hapo kabaguliwa nani?
 
Hata mimi kiongozi, mbowe alikuwa anatosha kabisa .. kwani siasa zetu zinahitaji mpinzani dizaini ya Mbowe .. 4R
 
CHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.

Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.

Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.
Haahaa binafsi nilikuwa naomba Sana mbowe ashindwe huu uchaguzi, chama kuendeshwa na mtu mmoja kipesa sio sawa.Leo chadema imekombola
 

Wewe kidampa risiti zako zipo kuhusu Mbowe huyu huyu unayejidai umeumizwa kuondolewa kwake ni mwaka jana tu uliandika hafai kuendelea kuwa mwenyekiti ulivyokuwa kidampa msahaulifu ukadhani wote humu wasahaulifu kama wewe.
 
CHama kinaenda kufa , kuendesha chama kinahitaji fedha.

Mbowe kashaachana nacho anaenda kusimamai biashara zake.

Mbowe alikuwa anawawezesha baadhi ya makada kufanya siasa ila mnyaturu hawezi ,wengi watakimbia.
HIko ndio mmebaki nacho? Ruzuku huwa zinakwenda wapi?
 
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA hawana tofauti na wayahudi walioona ni bora mhalifu Baraba aachiwe ili Messiah Yesu asulubiwe. Watajutia mno.
ni dhihaka kwa Mungu kumfananisha mwanasiasa na Yesu, Yesu kristo alijitoa sadaka voluntary , wanasiasa wa bongo hakuna hata mmoja amedhubutu kuweka uhai wake on the line. Have some respect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…