Nimeumwa ghafla majira saa sita(6) mchana wa leo, Nipo hospitali nimetundikiwa drip!

Nimeumwa ghafla majira saa sita(6) mchana wa leo, Nipo hospitali nimetundikiwa drip!

hahaha coca hakosi ngoma kwa sababu hana utelezi[emoji3] jamaa acheki ngoma kabisa
Wee mchaga ni mwehuu kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaa hadi bas, utelezii madukani upo wa kushatooo, afu mie natumia ule OG na wa bei ghali, sasa hiyo ngoma itanikutaa mda ganii??

Nyokooooo weee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee mchaga ni mwehuu kweliiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaa hadi bas, utelezii madukani upo wa kushatooo, afu mie natumia ule OG na wa bei ghali, sasa hiyo ngoma itanikutaa mda ganii??

Nyokooooo weee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aisee upo kama mchawi hizi nyuzi sijakutag ila unapend kufungua ma file🤣

aah mpe pole basi Mr IamBrianLeeSnr alikula mafuta ya kitimoto somewhere anaharisha🤣 alikuwa anabishana ukila mafuta ya kitimoto na bia huarishi yamemkuta.
 
Back
Top Bottom