madunda boy
Member
- Mar 26, 2013
- 25
- 12
Kama haukuripoti utazilipa, wanachofanya wanachukua mita wanaitumia kujaza matenki kwa aliyekatiwa maji kisha wanapata chao na wanakuja kukufungia wewe na deni juu.Jana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja
Maji kutiririka dakika 20 mfululizo ni mengi sana kusema kweli japo haiwezi kufika unit 2 ila moja itapitiliza.Jana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja
Yani hapo huna jinsi utalipa tuu na ukigoma wanakukatia hudumaJana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja
Hii umetolea wapi? Yaani mtu akitaka kuiba maji kwanza afungue bomba halafu afunge mita ndo aibe maji?Kama haukuripoti utazilipa, wanachofanya wanachukua mita wanaitumia kujaza matenki kwa aliyekatiwa maji kisha wanapata chao na wanakuja kukufungia wewe na deni juu.
Mita zao nahisi hazipo sawa, sidhani Kama nikweli Unit moja sawa na ndoo hamsini Kama wanavyosema!Jana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja
Fundi wa shirika anajua waliokatiwa maji, anakuja na mita anaifunga anakujazia maji kisha anarudisha mita yako na wewe unampa chake anaondoka, kwa mafundi kila kitu dili.Hii umetolea wapi? Yaani mtu akitaka kuiba maji kwanza afungue bomba halafu afunge mita ndo aibe maji?
Kwa nini asiibe tu pale baada ya kufungua bomba na maji yanamwagika aanze kufunga mita ya nn tena!?
Duh lita 1000 kwenu mnatumia 1hr kujaza mbona mnamaji yenye kaso ndogo sana au ni mimi ndio sijaelewa ulichoandika?Fundi wa shirika anajua waliokatiwa maji, anakuja na mita anaifunga anakujazia maji kisha anarudisha mita yako na wewe unampa chake anaondoka, kwa mafundi kila kitu dili.
Mita mpya hizo uniti mbili zimeigiaje wakati kujaza uniti moja inaweza kuwa saa moja, hao mafundi walimwaga maji kwa saa mbili! Haiwezekani, na ni wapi walikomwaga maji hayo.