madunda boy
Member
- Mar 26, 2013
- 25
- 12
Jana nimefunga mita ya maji yaani maunganisho mapya kwa mara ya kwanza. Cha ajabu na cha kushangaza mita inaonesha nimetumia unit mbili.
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja
Sasa nikamuuliza fundi kuwa hizo unit 2 zimetokea wapi wakati mita ni mpya..Akanijibu kuwa hizo unit 2 ni yale maji yaliyokuwa yanamwagika wakati wanatest bomba, nika choka.
Kama unit moja ni sawa na lita 1000 ambazo ni sawa na debe 20.
Kwa maana hiyo ndani ya daki kama 20 tu maji yametumika lita 2000.
Kuna shida kwenye hizi mita Nawasilisha hoja