Nimeuza kiwanja na kununua simu ya ndoto yangu

Nimeuza kiwanja na kununua simu ya ndoto yangu

Habari wakuu,

Hapa nilipo nimejaa kitete siyo poa. Yaani hata sielewi, ingawa maamuzi niliyoyachukua nilishauriana na moyo wangu nikaridhika, lakini still nafsi inanisuta.

Nimeuza kiwanja changu cha urithi nilichopewa kwenye mgao wa familia, tena kiwanja kilicho barabarani kabisa. Nilitakiwa kukiuza kwa Tsh. Mil 18 (atleast), lakini nimejikuta nakiuza kwa milioni tano ili ninunue simu ya ndoto yangu kabla haijatoka kwenye chati.[emoji24][emoji24]

Tayari nishafanya yangu. Nimenunua kitu cha Samsung Galaxy Z Fold 4 kwa Mil. 4 na laki 9. Hapa mfukoni nimebaki na laki tu. [emoji24][emoji24] Kiwanja kimeenda. Naombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini[emoji24][emoji24], bora hata ningefungua biashara.

Nilivutiwa na hii simu kwa sababu imekaa kama kitabu, nikiifungua inaungana vioo viwili inakuwa kama ka TV kadogo, kamera safi na hadhi ya kimataifa.

Moyo umejaa kitete, nifanyeje? [emoji24][emoji24]View attachment 2428948


Unafaa kuchinjwa upikiwe mtori fambaf kabisa wewe
 
Na itakutafuna kweli Mali ya urithi huwa haiuzwi au wazee hawajakuambia
Sikulijua hilo mkuu, mimi nilijua ni cha kwangu, basi namiliki mimi, hakuna wa kunipangia[emoji24][emoji24] Hata hivyo shetani alinipitia
 
Unafaa kuchinjwa ipikiwe mtoei fambaf kabisa wewe
[emoji24][emoji24]Najua nimekosea, lakini nahisi nilikuwa nimerogwa. Hata mimi sielewi imekuwaje, nimejikuta tu tayari nina samsung mkononi. Nahisi kuna ndugu ameniendea kwa mganga mkuu[emoji24][emoji24]
 
Habari wakuu,

Hapa nilipo nimejaa kitete siyo poa. Yaani hata sielewi, ingawa maamuzi niliyoyachukua nilishauriana na moyo wangu nikaridhika, lakini still nafsi inanisuta.

Nimeuza kiwanja changu cha urithi nilichopewa kwenye mgao wa familia, tena kiwanja kilicho barabarani kabisa. Nilitakiwa kukiuza kwa Tsh. Mil 18 (atleast), lakini nimejikuta nakiuza kwa milioni tano ili ninunue simu ya ndoto yangu kabla haijatoka kwenye chati.[emoji24][emoji24]

Tayari nishafanya yangu. Nimenunua kitu cha Samsung Galaxy Z Fold 4 kwa Mil. 4 na laki 9. Hapa mfukoni nimebaki na laki tu. [emoji24][emoji24] Kiwanja kimeenda. Naombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini[emoji24][emoji24], bora hata ningefungua biashara.

Nilivutiwa na hii simu kwa sababu imekaa kama kitabu, nikiifungua inaungana vioo viwili inakuwa kama ka TV kadogo, kamera safi na hadhi ya kimataifa.

Moyo umejaa kitete, nifanyeje? [emoji24][emoji24]View attachment 2428948
Uza na lile shati lako la kitenge lenye maua ya njano ili uinunulie protector na cover

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uza na lile shati lako la kitenge lenye maua ya njano ili uinunulie protector na cover

Sent using Jamii Forums mobile app
Ayayayayay[emoji24][emoji24] Hadi na wewe trudie unanihukumu jamani[emoji24][emoji24] Umesahau nilikuwa nakupa moyo ili tumpate mtoto wako ambaye mumeo alikimbia naye huko Mwanza jaman

Naomba moyo wako please[emoji24][emoji24] Nifariji kwenye hiki kipindi kizito jaman my friend, my kiss, my honey, my rollpop, my salady[emoji24][emoji24]
 
kama kutimiza ndoto ndio kuko hivi,
acha tu niendelee kuziangalia tu
 
Ayayayayay[emoji24][emoji24] Hadi na wewe trudie unanihukumu jamani[emoji24][emoji24] Umesahau nilikuwa nakupa moyo ili tumpate mtoto wako ambaye mumeo alikimbia naye huko Mwanza jaman

Naomba moyo wako please[emoji24][emoji24] Nifariji kwenye hiki kipindi kizito jaman my friend, my kiss, my honey, my rollpop, my salady[emoji24][emoji24]
Lakini mkuu si umetimiza ndoto zako?? Hilo ndio la msingi na hata ukisema uuze hiyo simu huwezi kukirudisha kiwanja chako tena. So enjoy na simu ya ndoto zako sijakuhukumu nimekukumbusha tuu uweke protector na cover ili isipasuke kioo mapema tukalia pamoja humu jukwaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mkuu si umetimiza ndoto zako?? Hilo ndio la msingi na hata ukisema uuze hiyo simu huwezi kukirudisha kiwanja chako tena. So enjoy na simu ya ndoto zako sijakuhukumu nimekukumbusha tuu uweke protector na cover ili isipasuke kioo mapema tukalia pamoja humu jukwaani

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji24][emoji24][emoji24]...[emoji2][emoji2]Imenibidi tu nicheke, hakuna namna

Lakini mwanao ulimpata?
 
[emoji24][emoji24][emoji24]...[emoji2][emoji2]Imenibidi tu nicheke, hakuna namna

Lakini mwanao ulimpata?
Bado hajarudi mkuu ingawa baba yake aliomba amalize nae likizo atamrudisha, sasa kipengele cha anamrudisha lini ndio shida. Ila uvumilivu ukinishinda nitamuendea na gari ya magazeti moto nitakaomuwashia hataamini kama ni mimi. Haitajalisha ni mtoto wake sijui bao lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hebu screenshot details za hio simu nione tunafanyaje
Ni nzuri mkuu, ina specifications za maana kabisa mkuu. Mimi hata kwa 2.5m nakuachia, kikubwa tugawane hasara, nitajua ni biashara ipi nitafanya ili kurudisha heshima kwenye ukoo japokuwa mpaka sasa hakuna anayejua hii issue
 
Back
Top Bottom