I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 804
- 1,362
Wakuu, hivi karibuni nilishambuliwa usiku na wezi kadhaa nisiowajua na kuniibia vitu vyote nilivyokuwa navyo. Hawa jamaa nawezaje kuwakomesha? maana wamenirudisha nyuma kiuchumi.
NB: Kuwakomesha kwa njia yoyote ile.
NB: Kuwakomesha kwa njia yoyote ile.