Nimevamiwa na kuibiwa mali zangu na wezi, nawezaje kuwakomesha?

Nimevamiwa na kuibiwa mali zangu na wezi, nawezaje kuwakomesha?

Kuwa makini, usi geuke Fursa
tapatalk_1573179907198.jpg
 
Pole mkuu. Kubali hasara tu, kama huwajui epuka kupoteza hela nyingi zaidi kuwatafutia plus muda.

Next time ukichelewa kurudi, panda hata bodaboda ili kuongeza usalama.
Asante sana Mkuu. Nimeupokea ushauri huu mzuri maana hata mimi hadi sasa najuta ni kwanini usiku ule nisingepanda bodaboda.
 
Asante. Sure, nafikiria kufanya taratibu za kumiliki mguu wa kuku sasa.
 
Back
Top Bottom