macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kungekuwa na mafundi basi tungekuwa tunaona matokeo. Mbona mafundi wa magari wapo na kila siku tunaona magari mabovu yakitengemaa?Kuna mafundi wa kazi hiyo! Pengine watajitokeza humu lakini usiwalipe mpaka hapo watakapomaliza kazı!