The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Ahahaha akaombe backup pale Lugalo ya MPs na copro kadhaa wasafishe mtaa.mzee umewamark sura zao? kakodi wajeda kadhaa waje wasafishe huo mtaa halaf mnabonda huku unawaambia wakurudishie ukishindwa hii kawaroge
Utaratibu unasumbua mno mno....yaanii wanasumbua sanaaa....Asante. Sure, nafikiria kufanya taratibu za kumiliki mguu wa kuku sasa.
na mtonyo sio bure bureAhahaha akaombe backup pale Lugalo ya MPs na copro kadhaa wasafishe mtaa.
Kama uko Dsm, ongea na mjeda mmoja mfanye maigizo .Asante. Sure, nafikiria kufanya taratibu za kumiliki mguu wa kuku sasa.
Tatizo sikuwamark sura, naona hyo option ya kuchukua wajeda naweza kupoteza rasilimali nyingi ikiwemo fedha na muda bila kupata suluhu.mzee umewamark sura zao? kakodi wajeda kadhaa waje wasafishe huo mtaa halaf mnabonda huku unawaambia wakurudishie ukishindwa hii kawaroge
Hellow madam!
utawakomeshaje mpendwa?Tatizo sikuwamark sura, naona hyo option ya kuchukua wajeda naweza kupoteza rasilimali nyingi ikiwemo fedha na muda bila kupata suluhu.
Wasubiri wakija tena uwaue wapumbavu hawa.Wakuu, hivi karibuni nilishambuliwa usiku na wezi kadhaa nisiowajua na kuniibia vitu vyote nilivyokuwa navyo. Hawa jamaa nawezaje kuwakomesha? maana wamenirudisha nyuma kiuchumi.
NB: Kuwakomesha kwa njia yoyote ile.
Sawa nashukuru. Kama pia kuna utakayekuwa unamjua unaweza ukanielekeza.Kuna mafundi wa kazi hiyo! Pengine watajitokeza humu lakini usiwalipe mpaka hapo watakapomaliza kazı!
Nipo good,nice to see your comment.Thank youuHellow madam!
Hhmm.. Ushauri mzuri, nimeupokea chief NashukuruKama uko Dsm, ongea na mjeda mmoja mfanye maigizo .
Itakuwa hivi, akija mtaani kwako we jikute kibaka mpige kabali la kishkaji unamuacha.
Ikiwezekana lkn mpake na damu hata ya kuku kwenye nguo zake.
Yeye akienda kikosin atachukua wana kadhaa wanakuja kusafisha huo mtaa.
Jf kuna kila kitu, Mshana Jr anatosha wasiliana nae inbox.Sawa nashukuru. Kama pia kuna utakayekuwa unamjua unaweza ukanielekeza.
Labda hyo option ya pili ya kuwaloga.utawakomeshaje mpendwa?
Welcome 🤗.Nipo good,nice to see your comment.Thank youu
BarikiwaWelcome 🤗.
Inapendeza kuona upo na afya njema madam.
wakurudishaje nyuma! ulitembea na uchumi wako wote...? au ni nyuma ipi hiyo.Wakuu, hivi karibuni nilishambuliwa usiku na wezi kadhaa nisiowajua na kuniibia vitu vyote nilivyokuwa navyo. Hawa jamaa nawezaje kuwakomesha? maana wamenirudisha nyuma kiuchumi.
NB: Kuwakomesha kwa njia yoyote ile.
Chungu unaambiwa ndani ya mwaka kinaweza kisivunjwe hata kimoja, hii kitu ni mbaya wazee wa Mila hua hawavunji chungu ovyo ovyo... Mpaka wakubali ujue kweli ni tukio kubwa na kionevu hasaWewe kabila gani? Kama ni yale ya kaskazini Vunja chungu,. Nasikia hiyo habaki mtu.
Najua unataka watu wakufurahishe kwa kukuambia ''nenda kwa mganga'' ili tu kitu ambacho umekwisha kiwaza kiungwe mkono. Warning: Utapote fedha na mali zaidi.Wakuu, hivi karibuni nilishambuliwa usiku na wezi kadhaa nisiowajua na kuniibia vitu vyote nilivyokuwa navyo. Hawa jamaa nawezaje kuwakomesha? maana wamenirudisha nyuma kiuchumi.
NB: Kuwakomesha kwa njia yoyote ile.