mathewa
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 780
- 1,171
Misaada yote huwa ina masharti yake.
Unakuta zaidi ya nusu ya pesa ya msaada inarudi ilipotoka
Maana ukipewa pesa utalazimishwaa kinunua bidhaa zote kutoka kwa aliyetoa. Wakandarasi wa miradi lazima watoke kwao. Mwisho wa siku unakuja kulipa deni na riba juu.
Mfano unakumbuka mradi wa SGR, exim bank walikataa kutoa mkopo baada ya wakandarasi kutoka china kipigwa chini
Hakina kitu cha bure. Wale wanafanya kutengeneza ajira za watu wao kupitia misaada/mikopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta zaidi ya nusu ya pesa ya msaada inarudi ilipotoka
Maana ukipewa pesa utalazimishwaa kinunua bidhaa zote kutoka kwa aliyetoa. Wakandarasi wa miradi lazima watoke kwao. Mwisho wa siku unakuja kulipa deni na riba juu.
Mfano unakumbuka mradi wa SGR, exim bank walikataa kutoa mkopo baada ya wakandarasi kutoka china kipigwa chini
Hakina kitu cha bure. Wale wanafanya kutengeneza ajira za watu wao kupitia misaada/mikopo
Sent using Jamii Forums mobile app