BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
vidirisha vingine wanene hawapiti inabidi kubomoa kidogo au?Some where he will open the window
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vidirisha vingine wanene hawapiti inabidi kubomoa kidogo au?Some where he will open the window
kwa muujiza au? maana nyumba zingine zina mlango mmojaWhen One Door Closes; Another One Opens....
ahsante kushukuru. Tupo pamoja.Ahsante dear husninyo ubarikiwe
kama tulivyo pamoja na ww kwa ajili ya kipasel....mcd uahsante kushukuru. Tupo pamoja.
hahahaha! Miss u 2 wiselady. Unapotea sana bwana. Kapaseli kapo wapi hv, sikaoni na mjomba ake kloro.kama tulivyo pamoja na ww kwa ajili ya kipasel....mcd u
Very True..., lakini huenda kuna mtu yupo ready, lakini sababu haumpi chance, inakuwa vigumu kwake....,kuna wakati inajilock kwa ndani mpaka mtu wa nje akufungulie
I know easier said than done..., lakini kukaa kwako kwenye nyumba yenye mlango mmoja (kuamini kwamba huyo alikuwa the one na kutompa chance mtu mwingine ambaye huenda anakupenda utakuwa hujitendei haki....,kwa muujiza au? maana nyumba zingine zina mlango mmoja
tunashuhulikia harusi yenu hivi nimemuacha kloro huko, kapasel nimekaona kny madini cjui machimbo marefu!uko poa lkn?hahahaha! Miss u 2 wiselady. Unapotea sana bwana. Kapaseli kapo wapi hv, sikaoni na mjomba ake kloro.
mi mzima ila Ushindwe na ulegee, kapasel bado katoto bwana we unataka kunipa makosa ya jinai. Lol!tunashuhulikia harusi yenu hivi nimemuacha kloro huko, kapasel nimekaona kny madini cjui machimbo marefu!uko poa lkn?
mmmmhh hicho kicheko...!Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
pole sana,....ila usilie wala usikonde kwani wako yupo tena yupo hapahapa duniani
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni
Let it go....when people walk away from u let them walk...ur destiny is never tied to anybody that left...they came out from u cuz they were not 4 u...people leave u cuz they are not joined to u...and if they are not joined to u, u cant make them stay...so let them go!...and it doesnt mean that they are bad person, it just means their part in the story is over..,.dont hold on past that hurts and bring pain into ur heart...release them by being cheerful and blving that soon u'l meet the meander of ur broken heart and u'l be happy again! Stay blcd and live happly by leting him go.....!nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni