Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
Wakuu kwema!
Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu.
Kikao kilimhusu mtoto wa Baba Mkubwa, ambaye kiumri anamiaka 29 nikiwa nimemzidi miaka Kama sita hivi.
Mtoto wa Baba mkubwa ambaye jina lake linaanzia na herufi J, miezi minne iliyopita yaani mwezi wa tatu, alitoa Posa Kwa binti mmoja mwenye asili ya Dodoma.
Baada ya kutoa mahari, ndoa ilipangwa ifungwe mwezi wa Tisa tarehe 27.
Michango ilichangwa, wanandugu na watu wa karibu tuliambiwa tuchangie 100,000 Kwa single na 150,000 Kwa double.
Michango ilianza Rasmi mwezi wa sita. Na 70% wamechanga .
Mwezi Saba Mwanzoni J alinipigia simu akitaka tuonane.
Tukapanga siku tukaonana pale Ubungo Plaza,
Akanieleza jinsi alivyochanganywa na mchumba wake baada ya kuzifumania SMS za hovyo za mapenzi kwenye simu ya mchumba wake.
Kwa mujibu WA maelezo yake ni kuwa Mchumba wake anamegwa na huyo msela ambaye ni mwajiriwa katika Benk Maarufu hapa Nchini.
Nikamuuliza, alivyoongea na mchumba wake ikawaje,
Akanijibu kuwa Mchumba wake alikuwa mkali Kama mbogo.
Nilikamuuliza swali la lazima ambalo wengi wanaoniombaga ushauri huwa nawauliza.
"ulimkuta Bikra huyo mchumba wako?"
Akanijibu hapana.
Nikamwambia Piga chini wala usijishauri na wala usisubiri nikushauri zaidi.
Fukuza, mwambie umeghairi kumuoa.
Akaniambia, lakini bado anampenda, nikamwambia Kama unampenda ulichoniitia ni kitu gani Kama sio upumbavu wake.
Nikamtolea mifano ya ndugu niliowashauri wakavunja Uchumba usio na mbele Wala nyuma na sasa wanafurahia maisha Kama jokajeusi.
Akanambia atafikiria. Nikamwambia asiniite tena mpaka atakapokuwa amempiga chini. Tukapotezana Kwa wiki mbili hivi.
Mwanzo mwa wiki iliyopita mambo yalikuwa mabaya Sana.
Mwanamke anamuomba msamaha, vikao vimekuwa vingi sasa dogo anazidiwa ushawishi na pande zote mbili. Wote wanamshauri amuoe.
J aliwaambia Baba Mkubwa hataki kumuoa mchumba wake na hakuwaambia ukweli wote, isipokuwa alitoa sababu za kawaida.
Sasa ijumaa Dogo akanambia ananiomba kwenye kikao cha jumamosi ambayo ni Jana.
Ili nimuunge Mkono kwenye msimamo wake.
Jana kwenye kikao,
Nimechafua upepo, nimeeleza kila kitu,
Nikamuuliza mchumba wake J,
"Unafikiri ni Kwa nini unastahili kuolewa na J na sio mwanamke mwingine?"
Akanijibu Kwa sababu anampenda na anatabia njema.
Nikamuuliza,
"Ni kipi unamaanisha ukisema unatabia njema?"
Akajibu kuwa atamheshimu na kumsikiliza.
Nikamuuliza,
"Kwa mfano J akasema anatafuta mwanamke mwenye bikra Kama ishara ya tabia njema Kwa mwanamke, je utakuwa nayo hiyo bikra?"
Hapo nikamuona Shemeji yangu akijaa upepo, amepaniki, kikao kikaingiliwa na wakubwa upande huu na upande huu wakilipinga swali langu kumstahi binti wa watu.
Mwisho nikasema,
Binti huyu atamsumbua kijana wetu. Hajaolewa, mchakato wa Harusi yake na ndugu yetu unaendelea yeye analala na wanaume wengine.
Kama ningekuwa ni amri yangu, basi hapa hakuna Harusi,
Baada ya hapo James akaniunga Mkono tukatoka tukiacha wametahamaki huku Mchumba wake J akitufuata nyuma akimlilia James.
Bikra Matters
Jana jumamosi nilikuwepo kwenye Kikao kilichofanyika Tegeta Tangibovu.
Kikao kilimhusu mtoto wa Baba Mkubwa, ambaye kiumri anamiaka 29 nikiwa nimemzidi miaka Kama sita hivi.
Mtoto wa Baba mkubwa ambaye jina lake linaanzia na herufi J, miezi minne iliyopita yaani mwezi wa tatu, alitoa Posa Kwa binti mmoja mwenye asili ya Dodoma.
Baada ya kutoa mahari, ndoa ilipangwa ifungwe mwezi wa Tisa tarehe 27.
Michango ilichangwa, wanandugu na watu wa karibu tuliambiwa tuchangie 100,000 Kwa single na 150,000 Kwa double.
Michango ilianza Rasmi mwezi wa sita. Na 70% wamechanga .
Mwezi Saba Mwanzoni J alinipigia simu akitaka tuonane.
Tukapanga siku tukaonana pale Ubungo Plaza,
Akanieleza jinsi alivyochanganywa na mchumba wake baada ya kuzifumania SMS za hovyo za mapenzi kwenye simu ya mchumba wake.
Kwa mujibu WA maelezo yake ni kuwa Mchumba wake anamegwa na huyo msela ambaye ni mwajiriwa katika Benk Maarufu hapa Nchini.
Nikamuuliza, alivyoongea na mchumba wake ikawaje,
Akanijibu kuwa Mchumba wake alikuwa mkali Kama mbogo.
Nilikamuuliza swali la lazima ambalo wengi wanaoniombaga ushauri huwa nawauliza.
"ulimkuta Bikra huyo mchumba wako?"
Akanijibu hapana.
Nikamwambia Piga chini wala usijishauri na wala usisubiri nikushauri zaidi.
Fukuza, mwambie umeghairi kumuoa.
Akaniambia, lakini bado anampenda, nikamwambia Kama unampenda ulichoniitia ni kitu gani Kama sio upumbavu wake.
Nikamtolea mifano ya ndugu niliowashauri wakavunja Uchumba usio na mbele Wala nyuma na sasa wanafurahia maisha Kama jokajeusi.
Akanambia atafikiria. Nikamwambia asiniite tena mpaka atakapokuwa amempiga chini. Tukapotezana Kwa wiki mbili hivi.
Mwanzo mwa wiki iliyopita mambo yalikuwa mabaya Sana.
Mwanamke anamuomba msamaha, vikao vimekuwa vingi sasa dogo anazidiwa ushawishi na pande zote mbili. Wote wanamshauri amuoe.
J aliwaambia Baba Mkubwa hataki kumuoa mchumba wake na hakuwaambia ukweli wote, isipokuwa alitoa sababu za kawaida.
Sasa ijumaa Dogo akanambia ananiomba kwenye kikao cha jumamosi ambayo ni Jana.
Ili nimuunge Mkono kwenye msimamo wake.
Jana kwenye kikao,
Nimechafua upepo, nimeeleza kila kitu,
Nikamuuliza mchumba wake J,
"Unafikiri ni Kwa nini unastahili kuolewa na J na sio mwanamke mwingine?"
Akanijibu Kwa sababu anampenda na anatabia njema.
Nikamuuliza,
"Ni kipi unamaanisha ukisema unatabia njema?"
Akajibu kuwa atamheshimu na kumsikiliza.
Nikamuuliza,
"Kwa mfano J akasema anatafuta mwanamke mwenye bikra Kama ishara ya tabia njema Kwa mwanamke, je utakuwa nayo hiyo bikra?"
Hapo nikamuona Shemeji yangu akijaa upepo, amepaniki, kikao kikaingiliwa na wakubwa upande huu na upande huu wakilipinga swali langu kumstahi binti wa watu.
Mwisho nikasema,
Binti huyu atamsumbua kijana wetu. Hajaolewa, mchakato wa Harusi yake na ndugu yetu unaendelea yeye analala na wanaume wengine.
Kama ningekuwa ni amri yangu, basi hapa hakuna Harusi,
Baada ya hapo James akaniunga Mkono tukatoka tukiacha wametahamaki huku Mchumba wake J akitufuata nyuma akimlilia James.
Bikra Matters