Nimevutiwa sana na Subaru Impreza, nafikiri itanifaa kwa matumizi yangu kwa sasa

Nimevutiwa sana na Subaru Impreza, nafikiri itanifaa kwa matumizi yangu kwa sasa

Mzee Wa Republican

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
1,666
Reaction score
847
Ndugu wananchi,

Salaam za upendo wa dhati ziwafikie huko mlipo.

Kwa siku za karibuni nimekutana na marafiki kadhaa wakimiliki magari mbalimbali. Kuna mmoja anamiliki Toyota Crown Athlete, mwingine Crown Royal, na mmoja wa Subaru Impreza.

Katika magari yote hayo nimetokea kuvutiwa sana na Subaru Impreza. Mwendo wake ni wa uhakika licha ya kuwa na cc 1990 japo zipo zenye cc 1450. Hata bei yake iko kwenye range ya

milioni 10 mpaka 12. Toyota Crown Athlete ni gari nzuri sana pia lakini bei yake ya milioni 16 na matumizi yake makubwa ya mafuta vinanipa mashaka sana. Ninavutiwa na Impreza kwa

sababu pia naona zinakua imported kwa wingi sana Tanzania hivyo sina mashaka sana juu ya spare zake licha ya kuwa za bei ya juu.

Naomba wenye uzoefu zaidi na Subaru Impreza wanipe hasa weakness zake, na hata wenye uzoefu na Toyota Crown Athlete na Crown Royal wanieleze pia pengine nitashawishika.

baadaye.

Nategemea mawazo yenu wakuu.

Asanteni
 
Mkuu wewe nunua kitu moyo wako unapenda sisi hatunaga jema nikiwemo mimi hawachelewi kukwambia kuwa subaru ni baby Walker/ chombo cha usafiri, na toyota crown ni atleast gari unaweza enda nayo sehemu ukapewa parking, subaru ukaambiwa hakuna nafasi ya kupaki jaribu kuangalia kule nyuma.

Kuhusu spare za Toyota usiwe na shaka zipo kila kona.

Kati ya hizo gari mbili similiki hata moja ila zote nishaziendesha. Zote ni nzuri ila crown ni nzuri zaidi ina muundo safi kwa ufupi ni gari makini sana barabarani. Crown bado ina heshima zake😂 usiichukulie poa.

Wengine watakushauri zaidi.all the best.
 
Impreza ipo chini sana afu haitaki kashkash ni gari ya kuibembeleza hasa kwenye barabara mbovu, zinawai sana kuharibika chini huku ila ni gari nzuri. Vijana wanasunbua sana barabaran na impreza
 
Impreza ni gari nzuri lakini sijajua unaishi wapi au unakusudia kuitumia mazingira yapi..

Endapo utakuwa na matumizi kwenye mazingira ya rough road kwa kiasi fulani,
Impreza itakusumbua, ipo chini sana...naweza nikasema hata paso ipo na ground clearance nzuri kuliko hiyo gari kwa sababu wheel base ya paso ni ndogo kuliko impreza...

Kama ni mwendo wa lami tu, kamata chuma hiko zingatia service..
Ila kama ni mwendo wa rough road sana na lami kiasi na huna uwezo wa Rav 4, X trail na mengine yanayofanana na hayo...
Ni bora uchukue IST, Alex au Run x. hizi kidogo ground clearance yakw nibkubwa haswa ukiweka rim size 15 na spacer kidogo..
 
Ndugu wananchi,

Salaam za upendo wa dhati ziwafikie huko mlipo.

Kwa siku za karibuni nimekutana na marafiki kadhaa wakimiliki magari mbalimbali. Kuna mmoja anamiliki Toyota Crown Athlete, mwingine Crown Royal, na mmoja wa Subaru Impreza.

Katika magari yote hayo nimetokea kuvutiwa sana na Subaru Impreza. Mwendo wake ni wa uhakika licha ya kuwa na cc 1990 japo zipo zenye cc 1450. Hata bei yake iko kwenye range ya

milioni 10 mpaka 12. Toyota Crown Athlete ni gari nzuri sana pia lakini bei yake ya milioni 16 na matumizi yake makubwa ya mafuta vinanipa mashaka sana. Ninavutiwa na Impreza kwa

sababu pia naona zinakua imported kwa wingi sana Tanzania hivyo sina mashaka sana juu ya spare zake licha ya kuwa za bei ya juu.

Naomba wenye uzoefu zaidi na Subaru Impreza wanipe hasa weakness zake, na hata wenye uzoefu na Toyota Crown Athlete na Crown Royal wanieleze pia pengine nitashawishika.

baadaye.

Nategemea mawazo yenu wakuu.

Asanteni
Kama hauna pesa ya kutosha mkuu sikushauri subaru coz kidogo spares zake zimesimamia ukucha. Na pia head gasket kwa hizo imprezza kukaangwa ni nje nje, sijui zina shida gani hizo imprezza za kuanzia 2009 kurudi nyuma.
Ila kama ni maisha haya haya ya kwetu nakushauri tu uchukue hata premio, ni mbadala mzuri zaidi. Iko juu kiasi, ina comfortability ha kutosha, iko stable. Utaenjoi sana barabarani. Unaweza pata ya 1490cc au ya 1790cc.
 
Kama hauna pesa ya kutosha mkuu sikushauri subaru coz kidogo spares zake zimesimamia ukucha. Na pia head gasket kwa hizo imprezza kukaangwa ni nje nje, sijui zina shida gani hizo imprezza za kuanzia 2009 kurudi nyuma.
Ila kama ni maisha haya haya ya kwetu nakushauri tu uchukue hata premio, ni mbadala mzuri zaidi. Iko juu kiasi, ina comfortability ha kutosha, iko stable. Utaenjoi sana barabarani. Unaweza pata ya 1490cc au ya 1790cc.
Sijaelewa hapo unaposema PREMIO ipo juu (imenyanyuka).
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Hii ilikuwa zamani. Sasa hivi. 30GB Tsh 25,000 kwa mwezi.
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Mimi kuunga kifurushi mpaka niwe pembeni yako hapo.
 
Hii ilikuwa zamani. Sasa hivi. 30GB Tsh 25,000 kwa mwezi.
Sio kweli mkuu, gb 30 kwa 25k iliisha tangu mwezi wa 11 mwaka 2022, ilikuja sh 30k=gb 19.5 nayo ilienda hadi mwezi wa tatu mwaka huu 2023, mwezi wa nne ndipo zimeanza hizo gb 35 kwa 30k. Maelezo yote haya ni kwa mteja anaeanza kupata huduma wewe kama ulianzia huduma ikiwa gb 30 bei 25k basi utaendelea nayo hadi miezi 24 iishe alieanzia kwenye gb 19.5 kwa 30k nae anaendelea kupata gb 19.5 hadi miezi 24 iishe
 
Sio kweli mkuu, gb 30 kwa 25k iliisha tangu mwezi wa 11 mwaka 2022, ilikuja sh 30k=gb 19.5 nayo ilienda hadi mwezi wa tatu mwaka huu 2023, mwezi wa nne ndipo zimeanza hizo gb 35 kwa 30k. Maelezo yote haya ni kwa mteja anaeanza kupata huduma wewe kama ulianzia huduma ikiwa gb 30 bei 25k basi utaendelea nayo hadi miezi 24 iishe alieanzia kwenye gb 19.5 kwa 30k nae anaendelea kupata gb 19.5 hadi miezi 24 iishe
Mi wife nilimuungia hiyo ya 30GB tsh 25,000 kwa mwezi na bado analipa hivyo
 
Back
Top Bottom