Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,586
- 6,697
Twende tukalale sasa, muda wangu huu.
Come my love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende tukalale sasa, muda wangu huu.
Nakumiss zaidi Vin..[emoji7]Mpenzi wangu...nimekumiss sana
Nimekumiss sanaaaaa.Umefichwa na nani mbona umekuwa adimu sana?Nakumiss zaidi Vin..[emoji7]
shida ipi nimuambie maana namba zake ninazoUyo mtu ninashida nae sana mkuu
Nakumiss zaidi Vin..[emoji7]
Si huo hapo au hauoni?
Mie nipo.Za masiku?Bantu lady na Honey Faith wapo?
Poa nitafute basiMie nipo.Za masiku?
Ok poa usijaliPoa nitafute basi
Mi nipo mkuu unajua tena usawa huu wa baba Jesca kupata bando tu mtihani. Btw nimefurahi kuona nakumbukwa... I'm humbledKuna Jf members ambao kwa namna moja ama nyingine walilipamba sana jukwaa hili la MMU kipindi fulani kwa michango yao. Watu hao binafsi walikua wananifurahisha sana nafsi yangu kila mmoja kwa staili yake.
Ghafla tu nimejikuta nawakumbuka sana kwani kila nikiingia siwaoni kila nikiingia siwaoni jamani wapo wapi hawa watu??? How are they doing?? Ni muda mrefu kidogo umepita siwaoni oni jukwaani wamepatwa na nini huko jamani?? Anaewajua live bila chenga awape salamu zangu kuwa nimewakumbuka sana hapa jukwaani.
miss neddy Khantwe utafiti Excel mmepotea sana Manka m miss chagga mmepotea kidizain japo miss chagga Jana nilikuona nikakukoti makusudi tu ili nitambue uwepo wako kwakuwa nilikumiss sana na lara1 nimemis weekend storee na mashushu yake na tuvitu twingine twa ziada twingi twingi tu pia huwa napata vimisemo vingivingi kweli vinavoikonga roho yangu na kufanya siku yangu inoge.
Hao na wengineo weengi ambao sijawataja wamejificha wapi sikuhizi???
nipo sema siku hizi majukumu kidogomasai dada sijui nae kapotelea wapi aseeh
kule nako si kwa kukurupuka, unaweza ukapewa kichambo cha wanaume hadi ukashikwa na homa kaliWow!! Hata sijaamini, how are you my darling sister.
Huko siasani utakuwa unasoma tu maana sijakutia machoni.