Nimewaona Rais Magufuli, Prophet T.B Joshua na Profesa John Atta Mills

Nimewaona Rais Magufuli, Prophet T.B Joshua na Profesa John Atta Mills

Kaa kimya tu, humjui TB Joshua.
Wa nigeria wenyewe wamekuwa wakisema wazi wazi kuwa katika watu ambao ni wagumu kuwaingiza mkenge katika nchi za afrika basi watanzania ni namba one. Ukienda Kenya wamejazana wanapiga hela, ukienda Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na kwingineko ni halikadhalika. Ila sasa nimeshangaa ww kuwa mmoja wa wabongo walioingizwa chaka na hawa matapeli wa ki nigeria. Inashangaza kuona hakuna pastor au mchungaji wa kitanzania anaekubalika Nigeria, lkn wao wamefanikiwa kupenyeza maarifa yao kwa wajinga fulan ili waweze kukubalika kwetu. Ni aibu sana kwa kweli.
 
Wafu wamelala kaburin na hawajui lolote kama wafu wakifa wanaenda mbinguni basi hakuna hukumu ( maana hukumu ya nn wakati watu wanaenda mbingunu na jehanam tayar) nb ukiumwa na ww usitafute dawa ili ukufe ukwende kwa pepo🤗
 
Kwa vile uchaguzi mkuu wa chama taifa ulikuwa unakaribia, na umaarufu wa Lisu ulikuwa unaongezeka ndani na nje ya chama, basi jamaa alionekana kuwa ni tishio kwa kiongozi fulan wa chama hicho, maana umaarufu wake na misimamo yake vingemfanya ashinde uchaguzi huo mapema sana na kumgaragaza kiongozi alie madarakan (rejea boko aliyotoa mwenyekiti ktk uchaguzi mkuu wa 2015, ambao ulimuondolea umaarufu na heshima ndani ya chama) Kwahiyo kwa kukataa aibu hiyo ndio ikabuniwa mbinu tofauti na ile iliyotumika kwa Chacha Wangwe na Zito. Ila kwa bahati mbaya mission ilifeli lkn jamaa hakuweza tena kugombea nafasi yoyote ndan ya chama. Hali hii ilitaka kumtokea na Sumaye katika uchaguzi mkuu wa chama. Alijifanya kumchalenji mwenyekiti wa chama katika nafasi yake, ila bahati nzuri yeye ni waziri mkuu mstaafu anaelindwa na serikali kwahiyo wazee wa mfumo wakawahi kumshtua kuhusu maji, au chakula chochote atacholetewa ktk vikao vya chama asivitumie. Bila shaka unaikumbuka ile kauli ya sumu haionjwi kwa ulimi na kama umeenda shule utakuwa unaelewa kilichomaanishwa. Kwahiyo haya yanayoendelea ni karma ya Lisu, Chacha Wangwe na wengine ambao hatuwafahamu. RIP Chacha Wangwe.
Accept the vicious tyrant is just dead and gone period!
 
Kama yule tapeli Joshua alikuwa kwenye ndoto yako, basi bila shaka shetani atakuwa alihusika na ndoto hiyo. Sio yule Mungu wa haki tumjuae.
Unamjua Mungu ww? [emoji16]pole,bado hujamjua!

'Tafuteni kwa bidii kuwa na Amani na watu wote,Na huo utakatifu ambapo hapana mtu atakaemuona Mungu asipokua nao...soma Ebrania !
 
Jiwe haendi mbinguni,alishakufuru wazi kabisa kuwa yeye atawaongoza malaika (alitamani kuwa Mikael)
Unajuaje,?
Kifo ni siri kati ya mtu na Mungu!
Who knows kama alipata neema ya kutubu kabla hajaondoka? Usiusemee moyo we pambana na hali yako uombe upate neema ya kuondoka vizuri
 
Nzuri sana hii, its time we start to cherish our own spiritual guardians from another realm. They never told us that black is beautiful.
 
Unasikitisha na kutia huruma sana.Yaani unadai kuwa Bwana Chato ambae alikuwa anaunda magenge ya uhuni na ujambazi umemuona Mbinguni?

Unaelewa hata kuwa msaidizi wake ambae ni Sabaya amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya uhuni na ujambazi wa kutumia silaha?
 
Wahi milembe ukiwa bado unajitambua,Magu is to hell
 
Unajuaje,?
Kifo ni siri kati ya mtu na Mungu!
Who knows kama alipata neema ya kutubu kabla hajaondoka? Usiusemee moyo we pambana na hali yako uombe upate neema ya kuondoka vizuri
Dhambi ya kuua haisameheki itakutesa milele kadri siku wapendwa wao wanavyohuzunika ndivyo unavyoteseka.
 
Unasikitisha na kutia huruma sana.Yaani unadai kuwa Bwana Chato ambae alikuwa anaunda magenge ya uhuni na ujambazi umemuona Mbinguni?

Unaelewa hata kuwa msaidizi wake ambae ni Sabaya amehukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa makosa ya uhuni na ujambazi wa kutumia silaha?
Kachanganya kuzimu na mbinguni
 
Wewe ni muongo mkubwa,na pengine unataka kuugua ugonjwa wa akili.
Magufuli hawezi kuwa sehemu moja na mtumishi wa Mungu,TB Joshua, Magufuli was a serial killer akae vp na mtumishi wa Mungu,?
Sijui hata Kama alipata muda wa kutubu
Daud aliuwa wa ngapi? Kwani hujuwi kiongoz wako wa taifa ana haki ya kukuchinja kama kuku? Pambana
 
Hakuna dikteta anaenda mbinguni , shetani Katu hawezi mwacha mtu wake aende mbinguni.
Dikteta ni mjumbe wa shetani kutesa watu wa Mungu.Kuna kuwa na makubaliano ya pande mbili Kati ya shetani na dikteta kwa gain interest.Shetani umpa nguvu ya madaraka dikteta na dikteta umpa damu shetani kupitia kafara za damu za wakosoaji.
Hii kitu ni real ktk ulimwengu wa roho.
Sasa ni ajabu kumkuta dikteta mbinguni.
 
Kama na Magufuli kaingia mbinguni basi hakuna atakayekwenda motoni, wauaji, wazinzi, majambazi na wahalifu wa kila namna wakae sawa tayari kuingia mbinguni.
 
Back
Top Bottom