Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Okay nadhan hujaangalia vzr. Kuna free games hapo 50.Game sijalicheza. Kwa sababu linahitaji uwe na Coins. Na coins zinapaswa kununuliwa, huki Coin moja ikiwa Tsh 100.
Sasa nashauri, kuwepo na free coins kwa new ID. Walau hata Coins 10.
Kama mtu mchezo utamnogea lazima atanunua tu. Ila kumshurutisha kununua kabla hata ya kucheza mchezo mmoja ni changamoto.
Kuwepo na time limit ya mchezaji kucheza kete.Okay nadhan hujaangalia vzr. Kuna free games hapo 50.
Utaweza play bure games 50 kabla ya kununua coins.
Lengo la coins sana sana ni kwenye viingilio vya ligi ambapo washindi watazawadiwa pesa taslim kufidia hela wanayonunulia coins.
Karibu Telegram group SOLDRAX USERS
Time limit zipo. 5 minute kwa kila move.Kuwepo na time limit ya mchezaji kucheza kete.
Nimesubiri mpaka dakika 3 mchezaji hachezi. Nikitaka kusukuma inanizuia kucheza mpaka zamu yangu ifike.
Nimegive up hilo game. Namtafuta mchezaji mwingine..
Sijawahi kuzisikia, nipe jina lake jingineWeka na zile karata za magongo sijajua kwa kiswahili sanifu zinaitwaje
Nazijua kwa jina la magongo ngoja waje wajuzi watakueleza apa nilikuta wanacheza wasukuma fulaniSijawahi kuzisikia, nipe jina lake jingine
Time limit zipo. 5 minute kwa kila move.
Niinvite tusukume kete mkuu au weka game ID .
Natumia Kalilinux
Hello bosses and roses,
Kwa muda mrefu nmekua nafikiria namna ya kutumia tech kukuza na kuendeleza mwenendo wa maisha uliozoeleka hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla sababu Systems na Apps nyingi tunazotumia zimetengenezwa kufuata mazingira na utamaduni wa nchi za Ulaya, Amerika na Asia. Mfano mdogo ni hizi board games kama karata na draft, sana sana karata ni ngumu sana kupata apps unazoweza kucheza mchezo kama arubastini.
Miaka kadhaa ilopita nilitengeneza game la karata kwa hii michezo ya arubastini na Lastcard lkn kutokana na u-busy wa kazi ikawa ngumu kumaintain hio project.
Leo hii nawaletea App ya Soldrax ambayo utaweza kucheza na kushindana na marafiki zako katika michezo ya ARUBASTINI, LASTCARD, BRAZILIAN & SPANISH CHECKERS (aina hizi ndizo tunazocheza sana Hapa Tanzania)
Vile vile nitakua naorganize leagues kila baada ya muda fln ambapo washindi watazawadiwa pesa tasilimu na zawadi nyingine.
App inapatikana Google Playstore kwa jina la Soldrax, au bonyeza link hii Download Soldrax from Google Playstore kuipata moja kwa moja.
Kitu nilicholenga hapa ni watu kucheza dhidi ya watu, hivyo functionality ya mtu kucheza na BOT haipo kwa sasa (I hate&love AI).
Kwa sasa mtu anaweza kuhost match ya mchezo anaotaka kisha akatuma match ID kwa mwenzake na wakajoin na kuanza match. Au mchezaji mmoja anaweza kumualika mwingine moja kwa moja kwenye profile ya mhusika.
Vile vile app inakuruhusu kuangalia users waliopo online au waliokuwepo online muda mfupi ulopita kisha unaweza kuwa-alika (invite) kwenye mchezo wako.
Kama kawaida maoni yenu yanakaribishwa, kwenye app kuna link za Telegram, Instagram na Whatsapp so unaweza kunifikia moja kwa moja na kutoa recommendation, ushauri, critics, malalamiko etc...
Hapa chini ni baadhi ya screenshots.
View attachment 2561847View attachment 2561848
View attachment 2561843View attachment 2561844View attachment 2561845View attachment 2561846
Pia kuna group la telegram Soldrax Telegram Group na kuna channel SOLDRAX Channel humo utaweza kukutana na players wengine ukawa unaweza kuwaalika kwenye mechi zako au kushare Match ID kwenye group na wengine wakajoin.
Hii ni moja kati ya projects tano nlizopanga kufanya maalum kwa ajili ya culture ya Afrika mashariki na kati hasahasa Tanzania, napenda kutumia JF kudeliver mambo kama haya sababu JF imenipa karibu asilimia 40 ya wateja biinafsi nlofanya nao kazi, na pia kuna followers wangu huwa wananifuatilia kwenye mabandiko yangu ya tech na kuja PM lakini wanajiuliza kazi zangu ziko wapi? Kiufupi nadeal na internal systems ambazo ni mara chache kuwa exposed publicly lkn kwenye Apps kama hizi dipo naweza onyesha ujuzi wangu kwenye vitendo.
Karibuni....
kali linux
Kweli! Time iwe inaanza ku count inapo switch opponent na ni sekunde 30 tu zinatosha japo kuna game zina sec 15Sijalicheza kwa sababu natumia ios, lakn ingekuwa vizuri host wa mchezo akachagua time kwa kila move, maana dakika tano ni nyingi sana kumsubiri mtu ambaye humuoni acheze. Unaweza kuta amepata mchongo mwingine we unasubiri acheze.
Ohoooo! Hapo kwenye ads hapo[emoji55] labda ziwe za kuangalia kwa ihari maana hua zina kera sijawahi ona! Yeye auze token tu hiyo mi ads itaua gameGame sijalicheza. Kwa sababu linahitaji uwe na Coins. Na coins zinapaswa kununuliwa, huku Coin moja ikiwa Tsh 100.
Sasa nashauri, kuwepo na free coins kwa new ID. Walau hata Coins 10.
Kama mtu mchezo utamnogea lazima atanunua tu. Ila kumshurutisha kununua kabla hata ya kucheza mchezo mmoja ni changamoto.
Au unaweza kuunga na google ads, mtu akitaka apate walau point 2 basi itamlazimu aangalie video ya Sekunde 30.
Hahahahaaa sawa ngoja niwasubiriNazijua kwa jina la magongo ngoja waje wajuzi watakueleza apa nilikuta wanacheza wasukuma fulani
NotedSijalicheza kwa sababu natumia ios, lakn ingekuwa vizuri host wa mchezo akachagua time kwa kila move, maana dakika tano ni nyingi sana kumsubiri mtu ambaye humuoni acheze. Unaweza kuta amepata mchongo mwingine we unasubiri acheze.
Hongera mkuu. Tunasubiri IOS version tuenjoy vitu vya kikwetu kwetu kiteknolojia.
Sidhan, nilishindwa kupata kiingereza cha arubastini sababu origin yake ni AsiaHongera sana,hivi arobastini Ndio spades in English au
Ukiweka muda mchache sana kumbuka kuna mwenye slow internet connection. Ila nitadeal nayo kubalance mambo ili user experience iwe nzuriKweli! Time iwe inaanza ku count inapo switch opponent na ni sekunde 30 tu zinatosha japo kuna game zina sec 15
Thanks chief for the feedback.Hili game lina lewesha sana jana nimejikuta nalala saa7! Kuna karata humo ndani ni sheeeeeeidah! View attachment 2563595
Unacheza huku unachat unavyotaka hii feature nimeifurahia sana jana[emoji2956]
View attachment 2563596View attachment 2563597View attachment 2563599