Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

Utapewa karatasi ya kura hakikisha unampa vema Magufuli na Ccm.
 
Mkuu, I have millions of ideas in my mind. Hizi ninazoandika hapa JF ni ideas za kitoto sana...

Mkuu ni hizi za kitoto ndio zinazo lift off the ground and easy to turn to a business opportunity
Complicated and Higher end ideas, ni vigumu kimplement ukizingatia Capital na Technology ya nchi unayoishi,

Vipi huko 3d printer zipo, hii ukiwa nayo , ni endless opportunity
 
Wazo zuri la kipekee ,,,,ila leo hujatupa salamu ,,,,,wakubwa zako[emoji16][emoji16]
 
Magufuli ndio mwamba na vijana wanamuita Baba lao.
 
Rais Magufuli anafanya kazi ya ziada kuhusu ardhi na sasa inarudi kwa Wananchi maana mikoa mingi Wananchi waliteseka sana.
 
Hii Nchi imetoka mbali yale mawazo na ndoto za Nyerere yanaanza kutekelezwa na Rais Magufuli.
 
Hii tayari ipo,Sema wewe hujawahi kuiona na TRA hawajataka kuitumia.
 
Soja unatisha kwa ideas. Sikuwezi mzee upo kama CR7. Njoo nikupe pussy bure.
 
Hii idea yangu ya kuchomeka leseni itakutana na changamoto ya network tu labda ila imekaa poa sana tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…