Haya ni maneno yako mkuu na sio yangu. Sijasema hivi mimi. Nilichokisema ni kwamba ukichomeka leseni inapata validation TRA kisha gari inawakaKwa maana leseni moja kwa card moja ya gari (kwa gari moja).
Network coverage ndio changamoto kubwa hapa hususan kwa remote areasPia, mawasiliano ya chip na database kama A TRA au Police au NIDA yanamaanisha gari na data base hizo ziwe connected na RELIABLE internet muda wote.
Kwani ni data kiasi gani inahitajika ili kufanya validation kati ya leseni na TRA kisha unachomoa kadi yako? Mbona kadi ya simu muda wote inakuwa inasoma kwenye mitambo ya kampuni husika bila hata kuwa na data (GSM)?Sasa kama bundle imechezeshwa kidogo tu juzi kelele kama zote na hizo ni bundle za kuingia facebook na Twitter na Insta tu, hayo magari itakuwaje?
Sawa mkuuNadhani idea hii inakosa uhalisia wa kimazingira.
ICT kirefu chake ndio nini wee mzungu pori?Safi sana mambo ya ICT haya
I think you were supposed to put it this way;Seducing your mom for sex intent is not a good habit !
ThanksI think you were supposed to put it this way;
"Seducing your mom for sex is not a good habit !"
The word "intent" was used unnecessarily.
Soma juu kabisa kisha uone hii mada ni ya lini (Sep 21, 2020)Umepata leseni wiki hii nini?! Maana naona umeshaanza kuwaletea nuksi wenzako wanaoendesha kiwizi wizi bila leseni
You are welcomeThanks
Ukiazima gari si unachomeka leseni yako kisha inapata validation ya TRA alafu inawaka.Vip ukiazima gar
Information and Computer TechnologyICT kirefu chake ndio nini wee mzungu pori?
Nadhani gari inatakiwa iwe na system zote mbili zinafanya kazi kwa wakati mmoja, mwenye gari ndiyo anakuwa na option ya kutumia system ipi kwa wakati upi kulingana na mazingira aliyopo. Ni kama tu ilivyo kwa gari ambazo ni auto-manual, unaweza ukai-set ikawa manual au ikawa autoSio Ujinga ni Mawazo Mazuri
Cheap kama ATM connected
na system unahitaji Network nzuri
Huku kwetu Africa kuna Vijiji utaenda gari ukizima lisiwake
Pili ikitokea dharura kijana asiye na Leseni ila ni Dereva yupo mwenyewe nyumbani hataweza kumsaidia mgonjwa kufika hospital haraka
Kuhusu Magari kuibiwa siku hizi security systems za magari zanazidi kua za kisasa sana miaka 10 ijayo kuiba gari utahitaji akili nyingi sana usikamatwe
Safi sanaNadhani gari inatakiwa iwe na system zote mbili zinafanya kazi kwa wakati mmoja, mwenye gari ndiyo anakuwa na option ya kutumia system ipi kwa wakati upi kulingana na mazingira aliyopo. Ni kama tu ilivyo kwa gari ambazo ni auto-manual, unaweza ukai-set ikawa manual au ikawa auto
INFORMATION & COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT)Information and Computer Technology
WrongINFORMATION & COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT)
Lengo langu ni kuzuia wasio na leseni kuendesha magari na kutaka kujua gari A ipo sehemu gani kwa wakati huu.Nadhani gari inatakiwa iwe na system zote mbili zinafanya kazi kwa wakati mmoja, mwenye gari ndiyo anakuwa na option ya kutumia system ipi kwa wakati upi kulingana na mazingira aliyopo.