Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

Idea nzuri ila haina uhalisia. Hata huko Japan, Ulaya na Marekani hawawezi weka limitation hiyo kwenye magari.

Mfano rahisi, katika familia yako ni wewe tu ndio utaweza kutumia gari hilo. Kwa maana leseni moja kwa card moja ya gari (kwa gari moja).

Pia, mawasiliano ya chip na database kama A TRA au Police au NIDA yanamaanisha gari na data base hizo ziwe connected na RELIABLE internet muda wote. Sasa kama bundle imechezeshwa kidogo tu juzi kelele kama zote na hizo ni bundle za kuingia facebook na Twitter na Insta tu, hayo magari itakuwaje?

Nadhani idea hii inakosa uhalisia wa kimazingira.
 
Kwa maana leseni moja kwa card moja ya gari (kwa gari moja).
Haya ni maneno yako mkuu na sio yangu. Sijasema hivi mimi. Nilichokisema ni kwamba ukichomeka leseni inapata validation TRA kisha gari inawaka
 
Pia, mawasiliano ya chip na database kama A TRA au Police au NIDA yanamaanisha gari na data base hizo ziwe connected na RELIABLE internet muda wote.
Network coverage ndio changamoto kubwa hapa hususan kwa remote areas
 
Sasa kama bundle imechezeshwa kidogo tu juzi kelele kama zote na hizo ni bundle za kuingia facebook na Twitter na Insta tu, hayo magari itakuwaje?
Kwani ni data kiasi gani inahitajika ili kufanya validation kati ya leseni na TRA kisha unachomoa kadi yako? Mbona kadi ya simu muda wote inakuwa inasoma kwenye mitambo ya kampuni husika bila hata kuwa na data (GSM)?
 
Seducing your mom for sex intent is not a good habit !
I think you were supposed to put it this way;

"Seducing your mom for sex is not a good habit !"

The word "intent" was used unnecessarily.
 
Umepata leseni wiki hii nini?! Maana naona umeshaanza kuwaletea nuksi wenzako wanaoendesha kiwizi wizi bila leseni
 
Nadhani gari inatakiwa iwe na system zote mbili zinafanya kazi kwa wakati mmoja, mwenye gari ndiyo anakuwa na option ya kutumia system ipi kwa wakati upi kulingana na mazingira aliyopo. Ni kama tu ilivyo kwa gari ambazo ni auto-manual, unaweza ukai-set ikawa manual au ikawa auto
 
Safi sana
 
Harafu wakaongezea na Dole gumba ndo ianze kuondoka

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani gari inatakiwa iwe na system zote mbili zinafanya kazi kwa wakati mmoja, mwenye gari ndiyo anakuwa na option ya kutumia system ipi kwa wakati upi kulingana na mazingira aliyopo.
Lengo langu ni kuzuia wasio na leseni kuendesha magari na kutaka kujua gari A ipo sehemu gani kwa wakati huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…