Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

Nimewaza Ujinga: Kwanini magari yasigome kuwaka mpaka dereva atakapochomeka leseni yake na funguo kwa pamoja?

[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] endelea kusema vodacom wamekuibiw wazo lako tembea uone kuna Leseni zina smartchip dunian huko mmezoea leseni zenu za plastic za kutengeneza kkoo
Unapiga kelele sana, hauna hoja, uandishi mbovu.

Welcome to my ignore list.
 
Unapiga kelele sana, hauna hoja, uandishi mbovu.

Welcome to my ignore list.

Kumbe nimerusha jiwe gizani kajifunze kwanza kupika chapati ndio uje masuala ya magari na leseni za mbao hizo kufungua na kufunga tyre tu mtihani kwako.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wazungu mawazo yao huyafanyia kazi, au wahindi pia hufanya hivyo , muhindi mmoja alipokwenda benk kuchukua pesa akakuta foleni ndeeeefu akawaza sana huyu jamaa akabuni MASHINE ya kutolea pesa (ATM) sasa hicho unachowaza kinawezena maana hilo wazo lako NI zuli sanaaaaa

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu. Thanks.
 
Sio Ujinga ni Mawazo Mazuri

Cheap kama ATM connected
na system unahitaji Network nzuri

Huku kwetu Africa kuna Vijiji utaenda gari ukizima lisiwake

Pili ikitokea dharura kijana asiye na Leseni ila ni Dereva yupo mwenyewe nyumbani hataweza kumsaidia mgonjwa kufika hospital haraka

Kuhusu Magari kuibiwa siku hizi security systems za magari zanazidi kua za kisasa sana miaka 10 ijayo kuiba gari utahitaji akili nyingi sana usikamatwe
Najatibu kupangua hoja yako ya kuhusu network, kuna kampunia inaitwa sun kingi hawa jamaa wanakukopesha taa za sola ,zile taa zina display mfano wa cm zina namba kama unaoona cm, sasa ukikopeshwa ile taa unasajiliwa baada ya hapo ww unatakiwa kununua uniti kama za luku lkn wao wana mfumo wao wanakupa unanunua kwenye cm yako kisha unaingiza ktk mile kioo cha sola kama unavyoingiza luku, sasa mm nikajiuliza hizi namba unazoingiza baada ya kununua huu umeme wao zinafanyaje kuingia sehemu ambayo hakuna network,


Mfano upo Shamba mbaliii huko yaani kupiga cm mpaka upande ktk mti kutafuta mtandao ,unanunua umeme wako kwenye cm yako kwa tabu maana network hakuna,lkn kuingiza ktk mtambo wao haisumbui swali linakuja wanatumia nn maana unaweza kuwa sehemu hakuna mtandao?

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini kusiwe na mfumo ambao utawezesha, licha ya kwamba engine imewashwa kwa funguo, lakini bado gari itagoma kuwaka mpaka utakapochomeka pia leseni yako ya udereva?

Yaaani kunakuwa na direct contact baina ya servers za TRA, Police Traffic pamoja na ignition system ya gari.

(1) Faida yake ya kwanza ni kwamba, hakuna mtu atakayeweza kuendesha gari kama hana leseni (Leseni inakuwa na smartchip kama ya ATM Card)

(2) Faida ya pili ni kwamba, ata ikitokea kuwa gari imeibwa ni rahisi kujua ni leseni ya dereva yupi inatumika kuendesha gari hiyo. Pia Mamlaka husika wanaweza kulizima hilo gari mara moja.

WATAALAM WA ICT, COMPUTER NETWORKING PAMOJA NA MECHANICAL/AUTOMOBILE ENGINEERING msipite bila kusema chochote please.

I STAND TO BE CORRECTED.....!!!!!

Nimelisajili hili wazo langu la kijinga kijinga...!!!!!

NB: TTCL nitawapa wazo kubwa sana la biashara ambalo halipo katika mitandao mingine ya simu za mikononi/kiganjani.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Watu wanawaza jinsi ya kuliendesha gari kwa kuliprogramm kama vile autopilot ili kurahisisha uendeshaji wa magari lakini wewe unawaza kucomplicate uendeshaji wa magari ,, yaani unataka iwe tabu kuendesha gari.

Kuhusu leseni ,,bado kuna leseni watu wanapita mlango wa nyuma kuzipata ,,, hivyo leseni si uhakika wa dereva salama.

Kuhusu security tayari kuna systems za security zinazodhibiti uizi wa magari.


Hongera kwa wazo lako.
 
Kuhusu leseni ,,bado kuna leseni watu wanapita mlango wa nyuma kuzipata ,,, hivyo leseni si uhakika wa dereva salama.
Ila ni chache sana ukilinganisha na zinazopatikana kwa njia halali. Ni suala la kuongeza udhibiti tu.
 
haitoweza kuwa hivo kamwe kwa sababu wakati mwingine gari hutusaidia wakati wa dharura kwa mfano umevamiwa na majambazi unatoka ndani haraka unapanda gari unakimbia au mpo porini camping ametokea mnyama au kitu cha hatari dereva wenu kafariki au haonekani inabidi mtu awashe gari haraka ili muondoke hata kabla hana leseni
 
umevamiwa na majambazi unatoka ndani haraka unapanda gari unakimbia au mpo porini camping ametokea mnyama au kitu cha hatari dereva wenu kafariki au haonekani inabidi mtu awashe gari haraka ili muondoke hata kabla hana leseni
Katika hayo mazingira yote ya dharura uliyoyataja, vp kama funguo nayo inakuwa imepotea au "misplaced"?
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Kwanini kusiwe na mfumo ambao utawezesha, licha ya kwamba engine imewashwa kwa funguo, lakini bado gari itagoma kuwaka mpaka utakapochomeka pia leseni yako ya udereva?

Yaaani kunakuwa na direct contact baina ya servers za TRA, Police Traffic pamoja na ignition system ya gari.

(1) Faida yake ya kwanza ni kwamba, hakuna mtu atakayeweza kuendesha gari kama hana leseni (Leseni inakuwa na smartchip kama ya ATM Card)

(2) Faida ya pili ni kwamba, ata ikitokea kuwa gari imeibwa ni rahisi kujua ni leseni ya dereva yupi inatumika kuendesha gari hiyo. Pia Mamlaka husika wanaweza kulizima hilo gari mara moja.

WATAALAM WA ICT, COMPUTER NETWORKING PAMOJA NA MECHANICAL/AUTOMOBILE ENGINEERING msipite bila kusema chochote please.

I STAND TO BE CORRECTED.....!!!!!

Nimelisajili hili wazo langu la kijinga kijinga...!!!!!

NB: TTCL nitawapa wazo kubwa sana la biashara ambalo halipo katika mitandao mingine ya simu za mikononi/kiganjani.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
You are too far brother.
Yote yanawezekana Ila uko mbele sana futurist
 
Ndio maana nimeweka hapa JF. Ninazo nyingi ambazo sitakaa kumtangazia mtu. I have milions of ideas mzee baba tena ni very unique.

Duu nilituma idea ya sehemu za zebra crossing waweke laser badala ya mistari na hiyo ilikuwa miaka ya t 90 wakaniambia nichore sketch halafu nitume £450 ya utafiti ila sikufanya
Baadae wakaweka za aina tofauti kwa idea ya mtu mwingine
Nawaza kila kukicha ili na mimi niwe miongoni mwa wabunifu [emoji362]
 
Back
Top Bottom