La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 471
- 737
Hahaaa ht ivo bdo nashida na wife maana kasema mpk kachoka hasa kuhusu speed na kutembea usiku nau amekaa kimya tu..amekubal yaishe tu .[emoji1] [emoji1]Naona unacheza na maisha yako ingekuwa mim ndio wife nikagundua umefanya kitendo hatarishi kama hiki tena unajisifu kabisa alaaaaaaa
Ningekusubiria ufike home nakupokea na mijeledi ya hali ya juu maana huwez kucheza na maisha Wakati kuna familia inakuhitaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unahitaji maombi kwakweli sikwamba kakaa kimya vile hamjuagi tu mnavyoweka watu roho juuHahaaa ht ivo bdo nashida na wife maana kasema mpk kachoka hasa kuhusu speed na kutembea usiku nau amekaa kimya tu..amekubal yaishe tu .[emoji1] [emoji1]
jaman sumry yupo kweli maana hizi mali za kumulika na tochi tatizo...karibu tena
hivi madeni ni kushindana na govt ana madeni ostadh huyu...Da shida nilisikia alishindana na serikal..sa ukishindana na serikal kifuatacho unakijua nadhan
yah head office ya sumry ipo sumbawanga... najua watoto wapo hapa jf waje waseme mzee magar kwa nini kayapaki gerej....Pia inawezekana lkn ..huyu jamaa si wa kule sumbawanga na watu wakule c unawajua utajir.wao unaeleweka
Unajua kuna jamaa mmoja alipiga mirungi mpaka ikamkolea... Sasa alikuwa na kuidumu cha mtindi... Alipofika mlima Sekenke akajisikia uharo... Akachukua kile kidumu cha mtindi akakimbilia porini.. Baada ya kumaliza kujisaidia akaanza kutumia ule mtindi kuchamba akili yake ya mirungi ikimwonyesha kwamba ni maji. Sasa kila akichamba Anaona uharo hauishi. Mwisho akasema 'Aaa wacha niende na uharo wangu bwana ' kumbe alikuwa anachamba mtindi. Sasa na wewe Isijekuwa mirungi ilikukolea?Naona mnnajuana watumiaji
Maneno mazuri na ya ukweli.... Lakini mungu ametuamrisha tuchukue tahadhari.Hahahaa...asijal mung yupo ndo mlinzi mkubwa..akipanga linikute litanikuta na akipanga lisinikute halitanikuta.
nawaza kampun nying za mbeya zinavokuja speed halafu zinayeyuka kama barafu... ex.. green star....Hahaha ita kuwa vizur..mana sio kupotea huku bhn.
Kitonga ni km 9 mkuuKitonga una km 8 kona kali na umesimama haswaa.sio mlima wakuendea kwa pupa.ulishuka kwa bodaboda au gari?