shekalage
Member
- Apr 26, 2013
- 47
- 3
Naomba ushauri
Kuna mdogo wangu alivunjika mguu tangu 2011 amewekwa chuma na sasa hivi yupo vizuri anatembea hata saa 2 na hasikii maumivu. Yeye anataka kutoa, nikiomba ushauri watu wananiambia nimuache nacho,
Nimeona nilete kwenu great thinker nipate mawazo yenu nikamtoe, nisipomtoa atapata madhara gani na nikimtoa atapata madhara gani?
Kuna mdogo wangu alivunjika mguu tangu 2011 amewekwa chuma na sasa hivi yupo vizuri anatembea hata saa 2 na hasikii maumivu. Yeye anataka kutoa, nikiomba ushauri watu wananiambia nimuache nacho,
Nimeona nilete kwenu great thinker nipate mawazo yenu nikamtoe, nisipomtoa atapata madhara gani na nikimtoa atapata madhara gani?