Munishi1698
Member
- Mar 25, 2021
- 59
- 106
Haahhh dahh mm ndo ninacho apa ulikiweka location siyo auNilikuwaga nako hako kamashine kwanza kalikaa ndaani weee, nikakatumia miez kadhaa sikuona cha maana nikakauzia mbali tena kwa bei ya hasara laki, looh kama sio mpambanaj sio mpambanaji tu ,