Munishi1698
Member
- Mar 25, 2021
- 59
- 106
Haahhh dahh mm ndo ninacho apa ulikiweka location siyo auNilikuwaga nako hako kamashine kwanza kalikaa ndaani weee, nikakatumia miez kadhaa sikuona cha maana nikakauzia mbali tena kwa bei ya hasara laki, looh kama sio mpambanaj sio mpambanaji tu ,
Mwenzio nimewekeza 11m napata 5m baada ya kutoa mishahara, nikipambana mpaka 10m inafikaWakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Biashara gani hiyo😋 tupe madini😉Mwenzio nimewekeza 11m napata 5m baada ya kutoa mishahara, nikipambana mpaka 10m inafika
INahitaji muda wako sana utulie hela ipoBiashara gani hiyo😋 tupe madini😉
Mimi nimeweka laki 2 faida mil 2-3 kwa mwezi...[emoji3533]Mimi nimewekeza laki5 faida laki6-7 kila mwez[emoji736]
jaribu hata kufafanua hio biashara yako na sisi tujifunzee kidogoMwenzio nimewekeza 11m napata 5m baada ya kutoa mishahara, nikipambana mpaka 10m inafika
Funguka maana muda na utulivu vyote ninavyoINahitaji muda wako sana utulie hela ipo
Ulikuja kuniomba ushauri Kati ya vipodozi au electronics,Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Boda mbili aendeshe mwenyewe zote!Au bodaboda mbili.
Huwezi shauliwa hivyo,unaweza kuwa unapata hiyo wkt kuna mtu anafanya biziness km yako kwanmtaji mdogo na anapata zaidi endelea kujaza fuvuNafanya mwenyewe,
Hayo mengine naona hayana maana yeyote kwa lengo la mada hii
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Hujaelewa vizuri tu, hapo wanatafutwa watu wenye tamaa waombe connection wapigwe. Hakuna biashara yoyoteMtoa mada akili yake anaijua mwenyewe
Oy , Natumaini uko poa !!!!Haahhh dahh mm ndo ninacho apa ulikiweka location siyo au
Utatoboa hivi jamn biashara tunazichukuliaje hakuna easy way broo biashara ni hatuaHata mm boss nilitaka niweke Uzi Kama huu mana nmeinvest mashine ya popcorn mahal cost Tu za mashine ni lak 4 ,plus eneo Kodi ,na gharama za kuvuta umeme kwnye eneo husika jumla ni km nmetumia lak 7 lakin Kwa siku naingiza 10k sikunyingne 7k Profit ko Kwa mwez ni. Laki 3 mpk lak. 2 hii nayo. Vp mkuu tutatoboa kwel. ....
Mbona uko sahihi kabisa you make more than 10% ya ulichowekeza, kama hiyo ndio average profit yako uko zaidi ya sahihi.
Jua, vipindi vya biashara yako low and high selling seasons…, jua stage uliyopo tangu ulivyoanza how far umekua umetengenza connections zipi na zipi, soma financial projection yako vizuri,utajua makadirio yako baada ya muda gani upate conclusion ya kufaham kama unabutua au unabutuliwa [emoji1].
Duh tupeane michongo shyMwenzio nimewekeza 11m napata 5m baada ya kutoa mishahara, nikipambana mpaka 10m inafika
Umewekeza kwenye nn Mkuu, [emoji120][emoji120][emoji120]Mimi nimewekeza laki5 faida laki6-7 kila mwez[emoji736]