Nimewota Usiku

Nimewota Usiku

Kuanza nashukulu mungu hata hapa nimepiga atua mana zamani nirikuwa napata tabu sana. mujomba wagu wa itaria arinitumia ela nikasoma kidongo
 
Siweizi kujidayi kua sijuyi kuadika ira mushukulu mungu edapo wewe unajuwa kuadika vizwuri. mujomba wagu wa itaria arinitafutia mwarimu nikasoma kidongo sana?
 
Nikikuona tu sehemu au nikiona uzi wako nacheka tu mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niripeda sana shure hila nyubani hatukuwa na ela hiviyo nikacha iri nitafute ela ya kuwatyunza wadongo zagu na famiriya yentu?
 
Abalini za asubuhi wapedwa? Leo nimewota usiku ndoto ya kutisha sana. Niriona kuna ndege moja inaruka ila mda mfupi ikapoteza muerekeo na kuaguka chini. Hii ni mara ya tatu nawota hivi sijui ndoto hii ina mana gani.

Wataramu wa mabo ya ndoto naobeni msada juu ya ndoto hio. Asateni sana.
Ndoto yako inamaanisha wewe umejiunga na jamii forum, na hii forum ndiyo ndege yenyewe. Sasa wachangiaji walio wengi watakuangusha au kukuumiza na kukudharau. Wewe usi vunjwe moyo na wao.
 
Maskini huyu new member hajui kuquote
hajui kutag
hajui kuandika
Eti nimewota
Eti sijakurewa dugu yagu
Eti naoba nivumilienani.
Melo mpe tuition huyu mtu wako ndo umlete humu.
Kuhusu ndoto yako uliota ndege gani bundi,kware au dreamliner?
 
Back
Top Bottom