Nimewota Usiku

Nimewota Usiku

Niriandikinshwa shure kwa jina ra maiko sipiriyan.
 
Hasante sana hila niriwota kabura ya kujiwunga hum.?
Mdogo'angu itabidi sisi sisi humu JamiiForums tuwe waalimu wako wakujitolea amini utakaa sawa tu kama sisi wengine.naanza;nakusahihisha hii sentesi yako hapo juu,ilitakiwa uandike[emoji116]

“ASANTE SANA ILA NILIOTA KABLA YA KUJIUNGA HUMU"

Kinachoonekana kwako siyo kwamba una kilema cha kutokujua kuandika ila tatizo lako ni unaandika ile lugha unayoisema mdomoni, nakushauri uwe unasoma sana majarida ya kiswahili na ukiandika angalia kwa umakini kioo cha simu yako kama ulichoandika ni sahihi hata kama sentence moja utatumia dakika kumi ila uwe umepangilia herufi zinavyotakiwa kidogo kidogo utakaa vizuri.hata hapa jukwaani unaweza kujifunza kwa kuangalia wanavyoumba sentesi wenzako utajua tu.
 
Yna2 hasante sana hira kuna wengine wananichenka navoadika.
 
Nakublock nisikuone tena na nyuzi zako za kisengerema punga wewe.
 
Asateni sana kwa ambawo mtajitoleya kunifudisha namuna ya kuadika. napenda sana kuadika kwa usaii hila siwezi?
 
Kama nahudhi mutu umu anisamee sio kupeda kwagu?
 
Back
Top Bottom